wanawake wa rukwa kwa mzee pinga

siwezi kuyasema hadharani wakati nje mawingu yametanda

Mie nnauwezo wa kuzuia radi isikulipue, we sema tu. Ila kaba hujasema niambie nikuzindike kabisa. Ila angalia sana, unaweza ukakuta kuku wako wote waliopo zizini wanajisaidia kamba zisizoisha.
 
Jamaani hebu nipeni details za hawa wanawake wafipa, etc

JF imefika hatua hii ya kudodosa profile za makabila kwa jinsi!! Je umempenda msichana wa huko au umepata wakwe watarajiwa wa huko?Ukipenda boga penda na maua yake, acha kudodosa dodosa, nenda mzima mzima hivyohivyo!!!
 
Mie nnauwezo wa kuzuia radi isikulipue, we sema tu. Ila kaba hujasema niambie nikuzindike kabisa. Ila angalia sana, unaweza ukakuta kuku wako wote waliopo zizini wanajisaidia kamba zisizoisha.

ngoja niandike wosia kabisaaaaa, mazindiko ya kichina hayafanyagi kazi mbele ya radi za S'wanga
 
Ila ujue rukwa hakuna wafipa tu,wafipa wapo sumbawanga navijiji vyake,mpanda kuna wabende,wapimbwe,wakonongo pale inyonga,na karema kuna waha,wafipa,wamanyema,sasa wewe unataka kujua wa kabila gani?
 
Ila ujue rukwa hakuna wafipa tu,wafipa wapo sumbawanga navijiji vyake,mpanda kuna wabende,wapimbwe,wakonongo pale inyonga,na karema kuna waha,wafipa,wamanyema,sasa wewe unataka kujua wa kabila gani?

Huyu anajua huku wako wafipa tu!
 
huko proteins,ni kwa kwenda mbele
385107_283713421667348_100000860778677_789541_720630734_n.jpg
 
Ungehudhuria tamasha letu pale makumbusho uwaone. Wapole, wakarimu, hawana hasira za kikurya. Jamani kama kuna mwana-Rukwa alikosa T-Shirt kwenye tamasha, aniPM. Nina belo zima la maT-shirt yaliyotolewa na wadhamini yakakosa wavaaji, yanagawiwa bure kabisa kwa wana Rukwa + Katavi.
By Sinkala Kapembwa Kalunga.
 
Ungehudhuria tamasha letu pale makumbusho uwaone. Wapole, wakarimu, hawana hasira za kikurya. Jamani kama kuna mwana-Rukwa alikosa T-Shirt kwenye tamasha, aniPM. Nina belo zima la maT-shirt yaliyotolewa na wadhamini yakakosa wavaaji, yanagawiwa bure kabisa kwa wana Rukwa + Katavi.
By Sinkala Kapembwa Kalunga.
we sinkala we ni pm nataka tshrt yahuko rukwa+katavi mwee mujango nilifika sana huko kibiashara,aah kawajense.nsemulwa,ibindi,kasokola,ilembo,majiyamoto,mpimbwe,kakese,karema,mpui,mwisi,mwese,aah lyambalya mfipa wee!matai,kaengesa,muze,mamba,kasansa,kilida,inyonga,ifukutwa,we konokwachele kumlanda wee,mfumile kutali njile kutali.
 
we sinkala we ni pm nataka tshrt yahuko rukwa+katavi mwee mujango nilifika sana huko kibiashara,aah kawajense.nsemulwa,ibindi,kasokola,ilembo,majiyamoto,mpimbwe,kakese,karema,mpui,mwisi,mwese,aah lyambalya mfipa wee!matai,kaengesa,muze,mamba,kasansa,kilida,inyonga,ifukutwa,we konokwachele kumlanda wee,mfumile kutali njile kutali.
Du! Mkuu unaijua mitaa vizuri sana, vipi Kabungu umewahi fika?
 
Back
Top Bottom