Chizi Msomi
Senior Member
- Jun 23, 2026
- 129
- 219
1. Kwanini msibani wanaume hawalii ni wakamili sana au kujikaza tu ?
2. Kwanini wanawake ndo huwa wanalia msibani ni udhaifu au ni mazoea?
3. Ni mara chache sana kukuta mwanaume msibani analia hebu nipeni" ufafanuzi,, wa jambo! hili wakuu
MJADALA:
2. Kwanini wanawake ndo huwa wanalia msibani ni udhaifu au ni mazoea?
3. Ni mara chache sana kukuta mwanaume msibani analia hebu nipeni" ufafanuzi,, wa jambo! hili wakuu
MJADALA: