Au mimi ndo hua sielewi

Au mimi ndo hua sielewi

Psalm 103

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2026
Posts
1,659
Reaction score
2,689
1 Timotheo 2:9.
Vivyo hivyo wanawake na wajipambe kwa mavazi ya kujisitiri, pamoja na adabu nzuri, na moyo wa kiasi; SI KWA KUSUKA NYWELE, wala kwa dhahabu na lulu, wala kwa nguo za thamani:

Nakazia tena
Si kwa kusuka nywele,
Nipeni mwongozo na maana ya hili fungu kwanini mnasuka

Wagalatia 6:5
Maana kila mtu atalichukua furushi lake mwenyewe.

Mwenye siko na asikie
Nimemaliza naangalia na pembeni.
 
Hilo andiko alijamaanisha kua kusuka na kuvaa vizuri ni vibaya au hairuhusiwi ila amejaribu kusema kwamba uzuri wa ndani (tabia njema) ni bora zaidi ya uzuri wa nje(kusuka, kuvaa)

Jitahidi usome na kuelewa maandiko tofauti na hapo utatapeliwa mjini hapa.
 
Kuna tofauti kati ya kanuni za kimaadili kama kutenda haki na desturi za kitamaduni. Kusuka ni utamaduni.
 
Hilo andiko alijamaanisha kua kusuka na kuvaa vizuri ni vibaya au hairuhusiwi ila amejaribu kusema kwamba uzuri wa ndani (tabia njema) ni bora zaidi ya uzuri wa nje(kusuka, kuvaa)

Jitahidi usome na kuelewa maandiko tofauti na hapo utatapeliwa mjini hapa.
ofcourse sikumwelewa, ila anaowazungumzia watakuja nawatapata somo la leo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom