Psalm 103
JF-Expert Member
- Jul 5, 2026
- 1,659
- 2,689
1 Timotheo 2:9.
Vivyo hivyo wanawake na wajipambe kwa mavazi ya kujisitiri, pamoja na adabu nzuri, na moyo wa kiasi; SI KWA KUSUKA NYWELE, wala kwa dhahabu na lulu, wala kwa nguo za thamani:
Nakazia tena
Si kwa kusuka nywele,
Nipeni mwongozo na maana ya hili fungu kwanini mnasuka
Wagalatia 6:5
Maana kila mtu atalichukua furushi lake mwenyewe.
Mwenye siko na asikie
Nimemaliza naangalia na pembeni.
Vivyo hivyo wanawake na wajipambe kwa mavazi ya kujisitiri, pamoja na adabu nzuri, na moyo wa kiasi; SI KWA KUSUKA NYWELE, wala kwa dhahabu na lulu, wala kwa nguo za thamani:
Nakazia tena
Si kwa kusuka nywele,
Nipeni mwongozo na maana ya hili fungu kwanini mnasuka
Wagalatia 6:5
Maana kila mtu atalichukua furushi lake mwenyewe.
Mwenye siko na asikie
Nimemaliza naangalia na pembeni.