hivi huku pwani waweza kumkuta hata mmoja ambaye ni bikira?kama sio bikira, utakuwa na uhakika gani kama mtu wake wa zamani umemzidi kiufundi?, nataka kumaanisha kuwa, kama mtu akioa mtu wa pwani, ajue kuwa anacho kibarua kigumu sana. kwasababu karibia wote wamemiminiwa zaidi ya mara mia tano. ila, huwezi amini, mkoani, nimekuta wanawake kibao wenye umri miaka zaidi ya ishirini mabikira. mimi ndo napenda hao, na nikaamua kuoa huyo. ndoa yake ni tamu sana, kwasababu anakufahamu wewe tu, na ni waaminifu na waoga kinoma. wakati mwingine hadi wewe mwenyewe ukiwa unataka, wanakuwa bado wana kale kauoga ka ku.....,umepata hiyo?
najua wengine mtanipinga kuwa labda niliona kama siko fiti, nikaenda kumchukua mlemavu ktk mambo hayo ili tufanane, sio, nilishakuwa na watu wa huku kibao. ila nilikuwa nawachezea tu, nilikuwa sitaki kuwaoa, kwasababu nilikuwa naona kinyaaa, nikilala nao, najua kuwa, hata wenzangu wameshalala nae hadi wamemchoka, yeye ni kama chombo tu cha starehe kwa wanaume wengi, na si ajabu pale tulipolala anamfikiria mwanaume mwingine. nilikuwa nahisi kama nimelala na sanamu tu, pamoja na kwamba wana ufundi na uzoefu mkubwa. ndo maana nikaamua kubeba mzigo mpyaaaaaa, mimi mwenyewe namfundisa na anafundishika. hivyo, wanawake wa pwani siwataki hata kuwaona.
Pili, wewe unaesema wapalestina, mimi hao jamaa, wanapendeleana sana wao kwa wao, ukioa hao utakuta ndugu zake wanaume kibao wengine hujui kama ni ndugu zake au la. halatu wanakuwa wanakutageti, ukilala usingizi tu kwenye maisha, ukawaachia pengo fulani wanatengeneza maisha, wanapandisha mabega afu ile mali yote hata kama wewe ndo ulimuanzishia anajua yakwake. anatafuta namna ya kukulipua ili amchukue mpalesina mwenzie au mtu yeyote anaempenda. LAKINI SIO WOTE. huwezi amini hadi wanaume wao wenyewe wanawakimbia..hahaha. ila nimesema sio wote.
wanawake wa pwani, sipendi mapishi yao, kwasababu hata kama wakifanya michuzi mingi, wanapenda sana kula mafuta mengi/chachandu zao hizo. wanajua kupika chakula kitamu, ila sio chakula chenya afya. sikia hapo?....