Wanawake wa Online Dating Mbona Waongo???

Eh! Suala gumu kweli kweli kisaikolojia ninayomengi ya kueleza juu ya uamuzi wako wa kuleta suala ilo hapa jamvini, hasa nikiangalia Content na maudhui yake, kwakweli PYSCHOLOGICALY inanipa nafasi ya kuchanganua mengi...any way niachane na upande huo niichukulie/niitazame kawaida, kisha niseme...

1. Dunia ya leo watu hawaangalii mwanamke sura/Umbile wala rangi. watu wanaangalia mwanamke mwema, mwenye upendo kwa familia na jamii ya Ndg na marafiki, mwanamke mwenye mtazamo chanya wa kujenga familia kiuchumi na kukusaidia kufikia malengo ya maisha zaidi sana mwanamke mcha mungu.

kwa maana hiyo ukimwitaji mwanamke wa namna hii "Mdau mwenzangu" hapatikani kwenye mitandao au online, kwani sifa hizo zinaitaji kumwona mtu na kumfahamu kisha umwambie NAKUPENDA. unampendea nini? jibu ni hayo uliyokwisha yaona.

Kwa mwanamke wa online huwezi ona sifa hizi! utaishia kuona umaili wake wa kuandika mail nzuri, kuchati kwa speed na kujaza profile yake sifa za uongo na picha fake kama yaliyokukuta. kwa hiyo utafutapo online uwe unahitaji sifa hizi basi utapata lakini kama ni sifa za mke bora ambaye wanaume wengi uHitaji leo basi andika maishani neno "NOA" Kwa watafutao wenzi wa maisha mitandaoni

Watu weupe {wazungu} na nchi baadhi za afrika hutumia online dating ku-earn money toka kwa wanaume waroho na wenye tamaa, wengine hufanya kuendeleza shughuli zao za ualifu wa mitandao (Cyber crime).

Tanzania kuna warembo kibao kila kona wenye sifa njema (uzitakazo) kazini, chuoni, mtaani kwenu, mtaa wajirani, rafiki yake rafiki yako, mtoto wa shangazi jirani na kwa wifi/shemeji hapo pia yupo mmoja, au nako hujaona? Natia Shaka!

Naomba kuwakilisha
Thanks mkuu!
 
Umeishiwa na mistar, online unatafuta waliokosa kama ww! Pole
 
Pesa sio tatizo, mimi nasaka penzi la ukweli. Nasikitikia muda wangu tu unavyopotezwa


pengine na wao wanasikitika hivyo ivyo kama wewe kwa kuwapotezea muda, coz ungekuwa husband material kati ya hao wote uliowadate, ungeshapata mke na ungeshaitwa mume wa fulani. Kama wachangiaji wengine walivyosema jitathmini wewe kwanza coz haiwezekani wewe mtu mmoja usikubaliwe na hata mmoja wa wanawake ulokutana nao. inawezekana uko too fake, vi2 ambavyo wanawake wengi hatuvipendelei
 
siko hapa kuwakebehi wanawake ama dada zetu lakini hii habari ni ya ukweli na iko-based na my own personal experience huko ughaibuni na kwa sasa hapa dar. Nimejaribu mara kadhaa kutafuta rafiki kwaajili ya dating then kama chemistry ipo na tuna-click basi sitosita kuendelea kumpenda ambaye tutapatana ili eventually tufunge ndoa na nitulizane na mwenza wangu ili tuendelea na safari ya maisha.
Baada ya kuwasaka akina dada wa mitaani/makazini/makanisani na miskitini etc. Bila mafanikio nikaona sasa nihamie online dating, ambako nimekutana na wanawake wa aina mbalimbali lakini tatizo wanawake wengi wa mtandaoni sio wakweli.
Utakuta mtu kaweka kwenye profile picha yake nzuri anapendeza na anavutia. Lakini tukikubaliana tuonane nakuwa nabaki mdomo wazi.
1. Unakuta kwanza hiyo picha kumbe ni ya zamani alipokuwa bado umri haujaenda na akitokea unakuta umri umekwenda
2. Mdada ni mnene zaidi transforma wakati alisema kwenye profile yake kuwa maumbile yake ni slim/average.
3. Anadai ktk profile yake kuwa ni mrefu kumbe ni mfupi. N.k.

Nimeshakutana na wadada 13 (8 ughaibuni 7 hapa hapa dar) na mara zote nimepoteza muda wangu na pesa zangu kwaajili ya hizi dates na kuambulia kulipia gharama za dinner, wine, taxi etc at expensive restaurants.
Swali:
1.je wanawake wanaotafuta wapenzi online ni wale ambao hawavutii kimaumbile na wako desperate?
2. Kwa nini akina dada hawako wakweli ktk online profiles zao? Mnaweka picha za zamani, mnadai wembamba kumbe wanene?
hapo kwenye red sio kweli mkuu.unaeza kutafuta partner online hata kamauko vizuri inategemea na mazingira mtu aliopo maybe hamna choice yako na hauko na access na outsiders
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom