Siko hapa kuwakebehi wanawake ama dada zetu lakini hii habari ni ya ukweli na iko-based na my own personal experience huko ughaibuni na kwa sasa hapa Dar. Nimejaribu mara kadhaa kutafuta rafiki kwaajili ya dating then kama chemistry ipo na tuna-click basi sitosita kuendelea kumpenda ambaye tutapatana ili eventually tufunge ndoa na nitulizane na mwenza wangu ili tuendelea na safari ya maisha.
Baada ya kuwasaka akina dada wa mitaani/makazini/makanisani na miskitini etc. bila mafanikio nikaona sasa nihamie online dating, ambako nimekutana na wanawake wa aina mbalimbali lakini tatizo wanawake wengi wa mtandaoni sio wakweli.
Utakuta mtu kaweka kwenye profile picha yake nzuri anapendeza na anavutia. Lakini tukikubaliana tuonane nakuwa nabaki mdomo wazi.
1. Unakuta kwanza hiyo picha kumbe ni ya zamani alipokuwa bado umri haujaenda na akitokea unakuta umri umekwenda
2. Mdada ni mnene zaidi transforma wakati alisema kwenye profile yake kuwa maumbile yake ni slim/average.
3. Anadai ktk profile yake kuwa ni mrefu kumbe ni mfupi. n.k.
Nimeshakutana na wadada 13 (8 ughaibuni 7 hapa hapa Dar) na mara zote nimepoteza muda wangu na pesa zangu kwaajili ya hizi dates na kuambulia kulipia gharama za dinner, wine, taxi etc at expensive restaurants.
Swali:
1.Je wanawake wanaotafuta wapenzi online ni wale ambao hawavutii kimaumbile na wako desperate?
2. Kwa nini akina dada hawako wakweli ktk online profiles zao? mnaweka picha za zamani, mnadai wembamba kumbe wanene?
Nadhani wewe utakuwa na matatizo tu, siyo rahisi kwamba hujafanikiwa kukutana na material women. Yawezekana kabisa pia kuwa wewe ndiyo siyo husband material man!The Boss, kama nilivyoeleza ktk thread yangu kuwa nimehangaika kwenye real world bila mafanikio kwa hiyo nikaona sasa nhamie mtandaoni labda ndio bahati yangu iko huko, lakini duu! yani nimepoteza muda na pesa.
Kwenye real world nimekutana na wanawake lakini sijafanikiwa kukutana na wife material women
Wanawake wa online dating huwa ni wale ambao aidha wameachwa au hawana mvuto kabisa kiasi ambacho hawatokewi na wanaume.Wale walioachwa hutaka kuziba pengo la kuachwa haraka iwezekanavyo.Mimi nilikutana na mdada mmoja mfupi,mnene na ana mustachi!Nilitaka kukimbia,lakini nikajikaza tukazungumza.Alipoondoka sikumtafuta tena.
Mkuu thanks for your testimony!Mkuu Vuvuzela, uko sawa kabisa na wala mtu asikudanganye, ukitaka kujua uko sahihi angalia hakuna mchangiaji anayejibu hizo namba 1,2 na 3 ambazo umeweka hapo juu kuhusu baadhi ya uongo wa wadada mtandaoni, labda hawataki kujibu kwa sababu jamii nzima (incl wanaume) imeharibika kiasi cha kuona hayo uliyoandika kuwa ni ya kawaida! Kuna watu kwao ni kitu kidogo sana kudanganya jina, umri, kimo, uzito nk! Kuna mdada niliwahi kuwa na mawasiliano nae, akanifunga kamba ana 21, siku ya siku niko bongo kuwasalimia bandugu nikamzukia huwezi amini alikuwa kama 35+ na mkorogo juu...Ilibidi nimpe shikamoo!! Sasa hivi mdada akisema ana 18 inabidi niongeze angalau 5..akisema anaitwa Asha, najua anaweza itwa Hadija pia.... Yaani ni full pasua kichwa... So mkuu hauko peke yako kuna watu tunachukia uongo.
umeshatapeliwa na wanaume wa online?mbona na wanaume wa online nao ni matapeli vile vile.tit for tat.binafsi mimi siamini mapenzi ya mitandaoni.relax,ipo siku utampata wako.
<br />Mkuu Vuvuzela, uko sawa kabisa na wala mtu asikudanganye, ukitaka kujua uko sahihi angalia hakuna mchangiaji anayejibu hizo namba 1,2 na 3 ambazo umeweka hapo juu kuhusu baadhi ya uongo wa wadada mtandaoni, labda hawataki kujibu kwa sababu jamii nzima (incl wanaume) imeharibika kiasi cha kuona hayo uliyoandika kuwa ni ya kawaida! Kuna watu kwao ni kitu kidogo sana kudanganya jina, umri, kimo, uzito nk! Kuna mdada niliwahi kuwa na mawasiliano nae, akanifunga kamba ana 21, siku ya siku niko bongo kuwasalimia bandugu nikamzukia huwezi amini alikuwa kama 35+ na mkorogo juu...Ilibidi nimpe shikamoo!! Sasa hivi mdada akisema ana 18 inabidi niongeze angalau 5..akisema anaitwa Asha, najua anaweza itwa Hadija pia.... Yaani ni full pasua kichwa... So mkuu hauko peke yako kuna watu tunachukia uongo.
never,ila watu wengi husikitika kitu kama hicho.au mdanganyifu anaweza akawapanga wadada kwa foleni.sito date online,mbona zipo njia nyingi tu za kukutana na watuumeshatapeliwa na wanaume wa online?
never,ila watu wengi husikitika kitu kama hicho.au mdanganyifu anaweza akawapanga wadada kwa foleni.sito date online,mbona zipo njia nyingi tu za kukutana na watu
<br />Hivi unene hauko kwenyesifa ya uzuri eeee