Wanawake wa mjini, sijui nifanye nini! Ushauri

Wanawake wa mjini, sijui nifanye nini! Ushauri

Habari za muda wadau, nimekaa nikiwa nafikiria sasa naona niseme tu haya mambo yanayonisibu. Kuna mwanamke ninae as nina date nae ila naona tabia zake kama sio.

Yeye akija kwangu hata kufanya usafi hakuna, kupika hakuna ila chakula mnakuwa mnanunua tu tena kwa bei kubwa sana ila pia vizinga anakupiga vya kutosha tu.

Sasa najiuliza ni biashara tunafanya au ndo wanawake wa mjini.

Natamani kumwacha ila ni mrembo sana ila ndo hivyo
Kama unaona ni mtoto wa upanga mjipange
 
Habari za muda wadau, nimekaa nikiwa nafikiria sasa naona niseme tu haya mambo yanayonisibu. Kuna mwanamke ninae as nina date nae ila naona tabia zake kama sio.

Yeye akija kwangu hata kufanya usafi hakuna, kupika hakuna ila chakula mnakuwa mnanunua tu tena kwa bei kubwa sana ila pia vizinga anakupiga vya kutosha tu.

Sasa najiuliza ni biashara tunafanya au ndo wanawake wa mjini.

Natamani kumwacha ila ni mrembo sana ila ndo hivyo
Hilo jini fukuzia mbali
 
Tambua huyo sio hausu gelo wako. Haji hapo kukufanyia usafi. Anafata kilichomleta. Ulishawahi kusikia akikwambia hapo kwako ni pachafu?
Yeye akija kwangu hata kufanya usafi hakuna, kupika hakuna ila chakula mnakuwa mnanunua tu tena kwa bei kubwa sana ila pia vizinga anakupiga vya kutosha tu.
Hii sasa 👇👇ndio silaha pekee aliyo nayo na imeteka utawala wako

Usafi utafanya, na hatopika labda upike mwenyewe, utanunua chakula anachotaka kwa bei yoyote na utaosha vyombo akimaliza kula.
Natamani kumwacha ila ni mrembo sana ila ndo hivyo
 
Akufanyie usafi, apike.....we hauna mikono???
Workmate. Evelyn Salt
Uzungu usiwaingie sana nyinyi wanawake wa Kiafrika.

Jamaa anasema anamuhudumia kwa vitu vingi. Hivyo mwanamke kwa akili ya kawaida anatakiwa awe humble na afanye majukukumu mengine ya kinyumban kumsaidia mpenzi wake.
Hata kama anafanya white color Job na anachoka, haijalishi . Ni vyema mwanamke akamjali mpenz wake kwa kuweka mazingira sawa .

Nashaur umwambie na ukiona habadiliki, bas ww kula tu mbususu enjoy na mwite siku ukiwa na hela. Siku huna kausha.

Mungu atakupa Mke mwema huko mbelen.
Pengine huyo kapangiwa wanaume wengne kama kina mzabzab wamumfundishe 😂😂😂
 
sasa mnadate tu unataka afanye mambo ya mke jamani😂

Eniwei endelea kumvumilia we si umependa urembo
Kwan akifanya kuna shida gan?

Mbona jamaa anafanya majukumu ya mume kwa huyo mpenz wake.

Sasa ukitoa hiyo K kuna nn anaoffer kingne?,

Wanawake mjiongeze. Unless kama hamna future ya hao wanaume mnaodate nao. Mko kimaslahi. Na kupotezeana Muda ledada
 
Habari za muda wadau, nimekaa nikiwa nafikiria sasa naona niseme tu haya mambo yanayonisibu. Kuna mwanamke ninae as nina date nae ila naona tabia zake kama sio.

Yeye akija kwangu hata kufanya usafi hakuna, kupika hakuna ila chakula mnakuwa mnanunua tu tena kwa bei kubwa sana ila pia vizinga anakupiga vya kutosha tu.

Sasa najiuliza ni biashara tunafanya au ndo wanawake wa mjini.

Natamani kumwacha ila ni mrembo sana ila ndo hivyo
Piga chini huyo ,mwanamke wa kuoa utamjua tu matendo yake lakini huyo kesha kuonesha hafai ni wa kutafuna na kupita
 
Workmate. Evelyn Salt
Uzungu usiwaingie sana nyinyi wanawake wa Kiafrika.

Jamaa anasema anamuhudumia kwa vitu vingi. Hivyo mwanamke kwa akili ya kawaida anatakiwa awe humble na afanye majukukumu mengine ya kinyumban kumsaidia mpenzi wake.
Hata kama anafanya white color Job na anachoka, haijalishi . Ni vyema mwanamke akamjali mpenz wake kwa kuweka mazingira sawa .

Nashaur umwambie na ukiona habadiliki, bas ww kula tu mbususu enjoy na mwite siku ukiwa na hela. Siku huna kausha.

Mungu atakupa Mke mwema huko mbelen.
Pengine huyo kapangiwa wanaume wengne kama kina mzabzab wamumfundishe 😂😂😂
Oa
 
Wakati mwingine pata muangaza kupitia maswali uliyo nayo,. Ukisha Gambia felia suruhisho mi lepesi
Fanya uamuzi kwenye kama ulicho Fanya wakati wa kumuaproach make hukumshirikisha MTU.trust your self you can
 
Back
Top Bottom