King faisal
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 2,026
- 5,148
Pumbavu
Vipi ukienda KWAKE hali ni hiyo hiyo?Habari za muda wadau, nimekaa nikiwa nafikiria sasa naona niseme tu haya mambo yanayonisibu. Kuna mwanamke ninae as nina date nae ila naona tabia zake kama sio.
Yeye akija kwangu hata kufanya usafi hakuna, kupika hakuna ila chakula mnakuwa mnanunua tu tena kwa bei kubwa sana ila pia vizinga anakupiga vya kutosha tu.
Sasa najiuliza ni biashara tunafanya au ndo wanawake wa mjini.
Natamani kumwacha ila ni mrembo sana ila ndo hivyo
Hahaa tatizo ukianza kufua unakuwa mfuaji kila unapopata mpenzi mpya😂😂😂 ni majinzi.. humu tu 🧺Kwan akifanya kuna shida gan?
Mbona jamaa anafanya majukumu ya mume kwa huyo mpenz wake.
Sasa ukitoa hiyo K kuna nn anaoffer kingne?,
Wanawake mjiongeze. Unless kama hamna future ya hao wanaume mnaodate nao. Mko kimaslahi. Na kupotezeana Muda ledada
wote wapo hivo mkuu aisee ila ni kama hawana mapenzi wamefuata pesa tu ...niloshaongea sana na demu wangu hii tabia lakini wapiHabari za muda wadau, nimekaa nikiwa nafikiria sasa naona niseme tu haya mambo yanayonisibu. Kuna mwanamke ninae as nina date nae ila naona tabia zake kama sio.
Yeye akija kwangu hata kufanya usafi hakuna, kupika hakuna ila chakula mnakuwa mnanunua tu tena kwa bei kubwa sana ila pia vizinga anakupiga vya kutosha tu.
Sasa najiuliza ni biashara tunafanya au ndo wanawake wa mjini.
Natamani kumwacha ila ni mrembo sana ila ndo hivyo
Hahaa tatizo ukianza kufua unakuwa mfuaji kila unapopata mpenzi mpya😂😂😂 ni majinzi.. humu tu 🧺
Nzuri shem😃Shem habar za ww.😂😂😂😂.
Hapo ndipo mnakosea, kama tunapendana asinizooeje sasaHauend kila siku. Mwanaume asikuzoee na asikuone mrahisi.
SiweziIla siku ukienda ufanye ile nyumba kama yako.
Sifanyi kitu ili niolewe nafanya kitu kwa mapenzi tu, practice za kuishi na mtu zinaanza hivi, ukifanya ili upate kitu ata kwenye hiyo ndoa uta expect too much na usipopata utakuwa disappointed vibaya!Kama anakuhitaj atakuoa. Ila kama ushafanya mara 2 tatu na yeye hauni basi unaacha.
My point is, ukidate na mtu sio ndoa, kwahiyo kufanya majukumu ya mke ili uolewe ni kujipa stress tu, fanya kama mtu asiyependa kuona uchafu au kama mtu aliyefunzwa vzr basi, na issue ya kufanya kama majaribio ili uone kama atakuoa au la utafua nyumba hadi nyumba kwa sababu utamuona hayuko serious utahamia kwa mwingine naye utakuta old shit unazokimbia uki expect different results on same shit..Asikuchukulie for granted.
Ila Kwenda kwa mwanaume wako alaf haushughuliki na chochote zaid ya Sex. Ni tatizo. Utatumika sana. Labda kama unafuata hela tu na hauna mapenz nae.
My point is, ukidate na mtu sio ndoa, kwahiyo kufanya majukumu ya mke ili uolewe ni kujipa stress tu, fanya kama mtu asiyependa kuona uchafu au kama mtu aliyefunzwa vzr basi, na issue ya kufanya kama majaribio ili uone kama atakuoa au la utafua nyumba hadi nyumba kwa sababu utamuona hayuko serious utahamia kwa mwingine naye utakuta old shit unazokimbia uki expect different results on same shit..
bora unaelewa shemNimekuelewa Shem.
Si ndioHasa hapo kufanya kama umefunzwa vizur na hautarajii ndoa.
Maana ndoa ni majaliwa.
Na sio lazima, kuna wanaume wachafu over na hawajali ukifika mnaliunga wote kuwa wachafu😃Sasa utakuta Mwanamke ana date na mtu wake na hafanyi hayo.
🫡Kabla ya kuoa tunaangalia vitu ving sana. Kimoja wapo ndio hiko.
Kuwa msafi pia ni kipaji sio kila mtu anaweza.. pole yake aiseeNina kaka yangu aliishi na mwanamke na akazaa nae mtoto 1 ila alimuacha ndan ya mwaka 1 na mwaka huo huo akaoa.
Sababu aliyotuambia ni kuwa mwanamke ni mchafu.
Tukamuuliza kivipi.
Akatoa maelezo ming tu ila all ni all ni vitu ambavyo angekuwa mwanamke mwingne angemudu kufanya..
Na sio lazima, kuna wanaume wachafu over na hawajali ukifika mnaliunga wote kuwa wachafu😃
Na hawajali wala nnNi kweli. Unakuta wamekutana wote wavivu na wachafu.
Wiki jamani, inasimama kama chapati ilokosa mafuta, siipendi hiyo harufu na wanang’ang’anizaga haoo BeBi niny@nyee🤢🤮Unakutana na boy wako . Boxer anavaa wiki 1. Inanuka pmubu balaa.
Yaan akiivua tu , boxer inasimama 😁😁😁
Siwezi aiseeSasa kama huyu utaanzia wap kumuweka sawa.
Wiki jamani, inasimama kama chapati ilokosa mafuta, siipendi hiyo harufu na wanang’ang’anizaga haoo BeBi niny@nyee🤢🤮
Habari za muda wadau, nimekaa nikiwa nafikiria sasa naona niseme tu haya mambo yanayonisibu. Kuna mwanamke ninae as nina date nae ila naona tabia zake kama sio.
Yeye akija kwangu hata kufanya usafi hakuna, kupika hakuna ila chakula mnakuwa mnanunua tu tena kwa bei kubwa sana ila pia vizinga anakupiga vya kutosha tu.
Sasa najiuliza ni biashara tunafanya au ndo wanawake wa mjini.
Natamani kumwacha ila ni mrembo sana ila ndo hivyo
Sasa kwanini usimwambie hoja zako? Ukileta hapa hutapewa majibu sahihiHabari za muda wadau, nimekaa nikiwa nafikiria sasa naona niseme tu haya mambo yanayonisibu. Kuna mwanamke ninae as nina date nae ila naona tabia zake kama sio.
Yeye akija kwangu hata kufanya usafi hakuna, kupika hakuna ila chakula mnakuwa mnanunua tu tena kwa bei kubwa sana ila pia vizinga anakupiga vya kutosha tu.
Sasa najiuliza ni biashara tunafanya au ndo wanawake wa mjini.
Natamani kumwacha ila ni mrembo sana ila ndo hivyo