A Boy From Kigoma
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 249
- 188
Wamekufanya nn
Wanawake wa mikoani mkoje kwa nini mkitaka kwenda Dar mnaomba mtumiwe nauli??
Umetisha jembe.....kweli acha tufunge ATM machine getoniUnaongelea mkoa kwa mkoa mkuu? mimi hata mtaa kwa mtaa tu nataka nitumiwe nauli
Akikujibu nitagHiyo research yako umeifanyia wapi? sample yako ilikua ni wanawake wangapi na kwa mikoa mingapi na ni mikoa ipi? naona umekuja na conclusion ya kuwajumuisha wanawake wote wa mikoani,bila shaka ulifanya research.
Kumbe na wewe unachepukaga?![]()
![]()
![]()
Ila wanawake wa Darisalama wajanja sana, kuna kamchepuko kamoja kalikua kanaenda mkoani kwenye mechi ya ugenini, wakati wa kurudi kanajifanya hakana nauli nikatumie (sikumbuki kama niliwahi kutuma).

Aisee, kwani kuna mahali nimesema hivyo?Kumbe na wewe unachepukaga?![]()
![]()
![]()
![]()
Ila wanawake wa Darisalama wajanja sana, kuna kamchepuko kamoja kalikua kanaenda mkoani kwenye mechi ya ugenini, wakati wa kurudi kanajifanya hakana nauli nikatumie (sikumbuki kama niliwahi kutuma).
Ina maana siku hizi sina kabisa uelewa hata kwa mambo madogo kama hayaAisee, kwani kuna mahali nimesema hivyo?
Aisee, utakua uelewa wako umezidi kipimo, sijaona sehemu niliandika huo mchepuko ulikua "wangu".Ina maana siku hizi sina kabisa uelewa hata kwa mambo madogo kama haya
Basi yaishe, haya nitumie nauli nije kukutembelea weekend hii!Aisee, utakua uelewa wako umezidi kipimo, sijaona sehemu niliandika huo mchepuko ulikua "wangu".
Alafu nimesahau kuweka alama za fungua na funga semi, kuashiria hayo maneno sio yangu.

Unitembelee wapi, Dar au mkoani?Basi yaishe, haya nitumie nauli nije kukutembelea weekend hii!![]()
Wanawake wa mikoani mkoje kwa nini mkitaka kwenda Dar mnaomba mtumiwe nauli??
Popote ulipoUnitembelee wapi, Dar au mkoani?
Ahaaah, hilo limepita, ni wewe kuniambia utatumia usafiri wa aina gani.Popote ulipo
Ahaaah, hilo limepita, ni wewe kuniambia utatumia usafiri wa aina gani.
Ewaaah, nitumie basi ulfu tano ili niwahi hapo benki nikachukue hiyo nauli, usihofu fedha yako naunganisha na hiyo nauli bila kusahau riba ya 30%.Sina makuu mie, nitumie tu nauli ya bodaboda ili niwahi kufika