ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 23,647
- 57,025
Wanakujaga dar kufanyaje
Mkuu, binafsi naona hiyo ni taswira ya aina ya wanawake wenye unakutana nao.Wanawake wa mikoani mkoje kwa nini mkitaka kwenda Dar mnaomba mtumiwe nauli??


Kama ni mtaani tu Mzigua! Nauli unaenda wapi.......mazoez siku moja moja bwnaEee. Sasa unaniita tuje tuonane na mimi nishabudget hela yangu hilo ya nauli nitaitoa wapi? Kama nina shida na wewe budget yangu ya usafiri itakuwepo ila kama wewe ndo umetaka siwezi kuharibu budget yangu kisa mtu kanimiss. Kama hana hela asubiri nikimmiss nitamtafuta
iv dar sio mkoaniWanawake wa mikoani mkoje kwa nini mkitaka kwenda Dar mnaomba mtumiwe nauli??
Mmh, siku izi umeamua utukimbie hapa jijini?Umeona eeeh!
Hatujui vizuri wanawake wa mikoani huyo
Jasiri haachi asili, nimeamua kurudi kwenye asili yangu!Mmh, siku izi umeamua utukimbie hapa jijini?
Halafu nifike useme nanuka jasho eeehKama ni mtaani tu Mzigua! Nauli unaenda wapi.......mazoez siku moja moja bwna
ckwelEee. Sasa unaniita tuje tuonane na mimi nishabudget hela yangu hilo ya nauli nitaitoa wapi? Kama nina shida na wewe budget yangu ya usafiri itakuwepo ila kama wewe ndo umetaka siwezi kuharibu budget yangu kisa mtu kanimiss. Kama hana hela asubiri nikimmiss nitamtafuta
Hahaha .......Basi tuishie hapa ukifika utaoga au unaogopa utaondoa make-upHalafu nifike useme nanuka jasho eeeh
😀😀😀Unaongelea mkoa kwa mkoa mkuu? mimi hata mtaa kwa mtaa tu nataka nitumiwe nauli
Usemi huu kwa wanawake tuUkitaka kula kubali kuliwa In JK's voice

Nimekuja mkoani mara moja sasa jana nilimuita demu aje baa alipofika akasema anadaiwa na bodaboda buku😀😀😀
Hata huko dar ukimwita mwanamke akifika anakwambia anadaiwa ya bodaboda tena buku
Mwenye Kiti, vikao lini?Kwa Sababu Wanajielewa Mkuu
By
Mwenyekiti Wa Watu Wote Wa Mkoani
Jasiri haachi asili, nimeamua kurudi kwenye asili yangu!
Nimekumiss njooEee. Sasa unaniita tuje tuonane na mimi nishabudget hela yangu hilo ya nauli nitaitoa wapi? Kama nina shida na wewe budget yangu ya usafiri itakuwepo ila kama wewe ndo umetaka siwezi kuharibu budget yangu kisa mtu kanimiss. Kama hana hela asubiri nikimmiss nitamtafuta