Wanawake wa Mikoani mkoje?

Wanawake wa Mikoani mkoje?

Eee. Sasa unaniita tuje tuonane na mimi nishabudget hela yangu hilo ya nauli nitaitoa wapi? Kama nina shida na wewe budget yangu ya usafiri itakuwepo ila kama wewe ndo umetaka siwezi kuharibu budget yangu kisa mtu kanimiss. Kama hana hela asubiri nikimmiss nitamtafuta
Kama ni mtaani tu Mzigua! Nauli unaenda wapi.......mazoez siku moja moja bwna
 
Eee. Sasa unaniita tuje tuonane na mimi nishabudget hela yangu hilo ya nauli nitaitoa wapi? Kama nina shida na wewe budget yangu ya usafiri itakuwepo ila kama wewe ndo umetaka siwezi kuharibu budget yangu kisa mtu kanimiss. Kama hana hela asubiri nikimmiss nitamtafuta
ckwel
 
Jasiri haachi asili, nimeamua kurudi kwenye asili yangu!

Ila wanawake wa Darisalama wajanja sana, kuna kamchepuko kamoja kalikua kanaenda mkoani kwenye mechi ya ugenini, wakati wa kurudi kanajifanya hakana nauli nikatumie (sikumbuki kama niliwahi kutuma).
 
Nilikwambia usichukulie wanawake wa mikoani kama wa Dar ukajitia ohh mm mtoto wa mjini, ina sasa, nahio ni nauli bado mahari.
 
Hiyo research yako umeifanyia wapi? sample yako ilikua ni wanawake wangapi na kwa mikoa mingapi na ni mikoa ipi? naona umekuja na conclusion ya kuwajumuisha wanawake wote wa mikoani,bila shaka ulifanya research.
 
Eee. Sasa unaniita tuje tuonane na mimi nishabudget hela yangu hilo ya nauli nitaitoa wapi? Kama nina shida na wewe budget yangu ya usafiri itakuwepo ila kama wewe ndo umetaka siwezi kuharibu budget yangu kisa mtu kanimiss. Kama hana hela asubiri nikimmiss nitamtafuta
Nimekumiss njoo
 
Back
Top Bottom