Wanawake wa Maduka ya Mavazi na Ukahaba mambo leo

TUKANA UONE

JF-Expert Member
Jan 3, 2018
1,816
5,151
Salamu wamebaki nazo Wazanzibar, huku bara salamu ni utumwa.

Juzi wakati natoka zangu Hifadhi ya Taifa ya Lake Manyara nikiwa zangu kwenye gari ikiniwahisha Airport ikabidi nichukue simu nitazame ambayo yanajiri kila uchwao, nilipowasha simu nikazama Instagram ili kujionea habari kwa picha za video ndipo ghafla nikaona mwanamke mmoja mtu mzima na bila shaka alikuwa akinadi mavazi ambayo yalikuwa yakipatikana dukani kwake.

Kilichonishangaza ni namna alivyokuwa akitikisa Mata-call kwa namna ya pekee hadi kutia ushawishi hata kama ulikuwa huna wazo hilo ndipo nikagundua ya kwamba si yeye pekee bali karibia wanawake wote siku hizi huko mitandaoni ili uuze ni lazima utikise kalio wakati huo ukiwa umeivaa hiyo nguo.

Sielewei ndiyo udangaji mpya au ni fasheni tu!.

Hivi kama ukiwa na duka la nguo ukavaa zako nguo ukapiga picha ukaweka mtandaoni utapungukiwa nini?

Kwani hadi uanze kutikisha makalio na kuzunguka zunguka ili watu waone namna ulivyojaaliwa ndiyo utauza?

Bila shaka huu utakuwa "UKAHABA MAMBO LEO"

Haiwezekani mwanamke mtu mzima mwenye familia ukafanya mambo ya hovyo namna hiyo.

Zamani midoli ndiyo ilikuwa ikivishwa nguo ila siku hizi wanavaa wenyewe na kutikisa makalio juu, hivyo inatoa ishara ya kwamba anauza nguo na mboga!.

Kazi kwenu wajuba.

Any way, Baby Joannah nipo Mjini mama,nitafute uje uchukue mzigo wako wa siku saba nilizokuahidi japo hukutokea.
 
Mwenyewe najiuliza, hivi nguo zenyewe za kike sasa mbona wanatikisa wowowo, wanamtikisia mwanaume au nani?
Atayenunua atakuwa anatikisa wezere kama mtangazaji na utapata wateja wahitahitaji kama likes zake ...mamaeee ... Nimewaza tu kiHAVANAAA....
 
Salamu wamebaki nazo Wazanzibar, huku bara salamu ni utumwa.

Juzi wakati natoka zangu Hifadhi ya Taifa ya Lake Manyara nikiwa zangu kwenye gari ikiniwahisha Airport ikabidi nichukue simu nitazame ambayo yanajiri kila uchwao, nilipowasha simu nikazama Instagram ili kujionea habari kwa picha za video

Any way, Baby Joannah nipo Mjini mama,nitafute uje uchukue mzigo wako wa siku saba nilizokuahidi japo hukutokea.
Oi
Huu ujumbe wako ungekokea endapo ungeweka kapicha, vidoe au hata link.

Kiufupi umeboa bila kuleta taswira
 
Umejitahidi kusinichi waliojiajiri.mbona wewe hujisemi unavyopelekeshwa na hao wenye ngozi nyeupe.
Okey,kwani mkeo,hatikisi matako au ana ukoo na WACHINA

Fratscreen
 
Salamu wamebaki nazo Wazanzibar, huku bara salamu ni utumwa.

Juzi wakati natoka zangu Hifadhi ya Taifa ya Lake Manyara nikiwa zangu kwenye gari ikiniwahisha Airport ikabidi nichukue simu nitazame ambayo yanajiri kila uchwao, nilipowasha simu nikazama Instagram ili kujionea habari kwa picha za video ndipo ghafla nikaona mwanamke mmoja mtu mzima na bila shaka alikuwa akinadi mavazi ambayo yalikuwa yakipatikana dukani kwake.

Kilichonishangaza ni namna alivyokuwa akitikisa Mata-call kwa namna ya pekee hadi kutia ushawishi hata kama ulikuwa huna wazo hilo ndipo nikagundua ya kwamba si yeye pekee bali karibia wanawake wote siku hizi huko mitandaoni ili uuze ni lazima utikise kalio wakati huo ukiwa umeivaa hiyo nguo.

Sielewei ndiyo udangaji mpya au ni fasheni tu!.

Hivi kama ukiwa na duka la nguo ukavaa zako nguo ukapiga picha ukaweka mtandaoni utapungukiwa nini?

Kwani hadi uanze kutikisha makalio na kuzunguka zunguka ili watu waone namna ulivyojaaliwa ndiyo utauza?

Bila shaka huu utakuwa "UKAHABA MAMBO LEO"

Haiwezekani mwanamke mtu mzima mwenye familia ukafanya mambo ya hovyo namna hiyo.

Zamani midoli ndiyo ilikuwa ikivishwa nguo ila siku hizi wanavaa wenyewe na kutikisa makalio juu, hivyo inatoa ishara ya kwamba anauza nguo na mboga!.

Kazi kwenu wajuba.

Any way, Baby Joannah nipo Mjini mama,nitafute uje uchukue mzigo wako wa siku saba nilizokuahidi japo hukutokea.
Hili ni la siku nyingi. Asilimia kubwa ya wanawake wanaofanya biashara na kutangaza kwenye social media ni wadangaji. Kundi ni kubwa: wauza keki, wauza nguo, wasanii, ma-''celebrity''.. kwa ujumla wengi wanajiuza. Kuna wale wanaouza rejareja, kuna wale wenye maduka wote ni kundi moja japo wanatofautiana viwango. Hivi huoni siku hizi udangaji imekuwa kazi ya sifa na siyo kashfa kama zamani? Wasanii kama Diamond wanabadilisha wanawake kama nguo na watu wanasifu. Hawa wote unaoona majina yao kwenye social media wakiwa na followers wengi kama kina Wema, Wolper, Hamisa ... wote hawa ni wadangaji. Udangaji wao unatoutiana kwa viwango wanavyochaji. Kuna wanadai magari, na magari nayo yanatofautiana kuanzia vitz mpaka Ranger rover.
 
Back
Top Bottom