lukubuzo Samsis
JF-Expert Member
- Nov 3, 2014
- 2,909
- 3,340
Waziri wa teknolojia anatakiwa leo kuongelea mambo ya Artificial Intelligence (AI). Dunia ipo huko sasa hivi.
Waziri wa teknolojia anatakiwa kuzungumza namna tunatakiwa kuanza kutumia e-commerce payment system.
e-commerce payment system ni kama huduma zinazotolewa na Paypal. Sasa hizi huduma za PayPal ziende vijijini.
Waziri wa teknolojia anatakiwa kuwekeza nguvu katika e-commerce payment system (or an electronic payment system).
Waziri wa teknolojia anatakiwa kuumizwa na kwanini watu wengi katika nchi aliyopo hawatumii electronic payment system.
Waziri wa teknolojia anakaa chini anawaza jinsi ya kushughulikia VPN? VPN inamkosea nini? Kwanza anazuia vipi?
Waziri wa teknolojia unakaa chini unaagiza watoa huduma kuzuia kutoa huduma kwa ClubHouse? Kuipata hadi utumie VPN.
Waziri wa teknolojia unaumizwa na watu kufanya mijadala ClubHouse? Siku ukiwa Rais kwa bahati mbaya? Utaua watu wengi.
Waziri wa teknolojia anasherekea watumiaji wa internet kuwa wachache. Tena anasema wapiga kura hawapo mtandaoni. Akili ndogo.
Waziri wa teknolojia atafute namna wananchi wapige kura online hata akiwa nje ya nchi siyo kushangilia kuikosa kura hiyo.
Sifa ya kuwa waziri (tena wizara zenye kuhitaji wataalan) isiwe uwezo wa kupanua mdomo kuimba taarab kwa sauti.
08/10/2023, Noida, India; International Conference on Smart Technology, Artificial Intelligence and Computer Engineering (ICSTAICE)
Hii ndiyo mikutano waziri wa Teknolojia anatakiwa kuhudhuria na kutoa hotuba. Aondoke na mawazo alete nyumbani.
Waziri wa teknolojia anatakiwa kuwa kiumbe hai mwenye ubongo unaofanya kazi. Kiumbe aliyefaulu vizuri shule na ana akili timamu.
MMM, Mtikila.
Waziri wa teknolojia anatakiwa kuzungumza namna tunatakiwa kuanza kutumia e-commerce payment system.
e-commerce payment system ni kama huduma zinazotolewa na Paypal. Sasa hizi huduma za PayPal ziende vijijini.
Waziri wa teknolojia anatakiwa kuwekeza nguvu katika e-commerce payment system (or an electronic payment system).
Waziri wa teknolojia anatakiwa kuumizwa na kwanini watu wengi katika nchi aliyopo hawatumii electronic payment system.
Waziri wa teknolojia anakaa chini anawaza jinsi ya kushughulikia VPN? VPN inamkosea nini? Kwanza anazuia vipi?
Waziri wa teknolojia unakaa chini unaagiza watoa huduma kuzuia kutoa huduma kwa ClubHouse? Kuipata hadi utumie VPN.
Waziri wa teknolojia unaumizwa na watu kufanya mijadala ClubHouse? Siku ukiwa Rais kwa bahati mbaya? Utaua watu wengi.
Waziri wa teknolojia anasherekea watumiaji wa internet kuwa wachache. Tena anasema wapiga kura hawapo mtandaoni. Akili ndogo.
Waziri wa teknolojia atafute namna wananchi wapige kura online hata akiwa nje ya nchi siyo kushangilia kuikosa kura hiyo.
Sifa ya kuwa waziri (tena wizara zenye kuhitaji wataalan) isiwe uwezo wa kupanua mdomo kuimba taarab kwa sauti.
08/10/2023, Noida, India; International Conference on Smart Technology, Artificial Intelligence and Computer Engineering (ICSTAICE)
Hii ndiyo mikutano waziri wa Teknolojia anatakiwa kuhudhuria na kutoa hotuba. Aondoke na mawazo alete nyumbani.
Waziri wa teknolojia anatakiwa kuwa kiumbe hai mwenye ubongo unaofanya kazi. Kiumbe aliyefaulu vizuri shule na ana akili timamu.
MMM, Mtikila.