Wanawake wa kisukuma wanatabia zipi...

Wanawake wa kisukuma wanatabia zipi...

Economics ndo majogoli gani? Mi nasomaga kuchungaga man'gombe tu!

sasa ndo nataka nimlie lecture mzee wa miss neddy atoe ng'ombe 200 ampe mwanae kwa ajili ya mtaji...

we dogo niaje, ng'ombe 2000000000000 halafu unalala nje?
 
Last edited by a moderator:
sasa ndo nataka nimlie lecture mzee wa miss neddy atoe ng'ombe 200 ampe mwanae kwa ajili ya mtaji...

we dogo niaje, ng'ombe 2000000000000 halafu unalala nje?


Ha ha ha haa! Wasukuma hatuhongi wakwilima!
 
Last edited by a moderator:
huyu Excel asimdanganye mdogo wetu..ana mke anaitwa Angelicious
na kama haitoshi kuna mahali kanikosea heshima,nimemuambia walaa haonekani kujali

hivi mwallu unakumbuka kwamba wewe ulikuwaga mke wangu wa zamani?

jikague utakuta alama zangu.. Ntuzu hajaisikiaga hii!
 
Last edited by a moderator:
Hawajazoea kubembelezwa hasa kwenye swala la kuongeza idadi ya watu duniani. Unapotaka ni mpaka umlazimishe kwasababu wamezoea ile hali ya chagulaga kwahiyo imekua ni asili yao.
 
Last edited by a moderator:
unatamani ingekua hivo bazazi?..haitokua.mi sio x wala y wako banaa
kwa hali hii ushafikia u senior bazazi asee
sasa kwanini ukimbie mamii? kwani kukwambia wewe ulikuwaga X wangu ndo utoke mbio hivyo?

mbona Passion Lady hakutokaga mita,? na sasa ana mtoto mzuri tumempongeza kwa pamoja..?

umekimbilia kwenye ofisi ya Kaiza eenh!? haya bana!
 
unatamani ingekua hivo bazazi?..haitokua.mi sio x wala y wako banaa
kwa hali hii ushafikia u senior bazazi asee

hahahaaa!! kubali tu matokeo!! kwani ni bana!

mbona jana man city alitiwa goli na messi, yakaisha?

sasa kwani na miimi niki... goli ni vibaya?

hahahaaa!! Kaizer upooooo?? chako kimeliwa baba! si siri tena!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom