iwe nyepesi basi! khaaa!! wanyantuzu hamchelewi kusema nipalilie shamba la mpunga usiku na mchana wiki nzima..!
Utembee juu ya fisi! Uko tayari?
kaka taratibu huyu nina mpango wa kumfilisi kabisaaaa abaki na dekio tu
naomba utaje sifa kumi za wasukuma ambatanisha na mifano hai iliyopo kwenye jamiii
waweza sema wasukuma ni hodari kwa kazi then taja mtu maarufu msukuma kama mfano
KAZI KWAKO THE KING
shem kaa basi sebuleni utulie jamani!
si unaona mi niko faragha na dadaako jamani?
tafwaaaadhali ngosha! najua una hasira! teh!!
Mi nimeshawapisha! Niko huku nakuamdalia Fisi ukitoka hapa upande akupeleke home!
braza tulia basi... mi mbona kazi namalizia hivyo afu wewe unakuja kutibua bana!!
kama vipi ng'ombe 50 badili kuwa usd nikupeeee!!
aargh!
Mi nimetulia! Nafurahi tu dada yng kapata former Bazazi!
fisi fisi au fisi hummerH3?
aisee umenielewa? nimesema hummerH3!
Ha ha ha haaaa! Hajakuambia mwenzio Kua tumefuga Kwetu Fisi?
babake huku ukuryani hayo mambo hayapo! we are un-rogable!
nasisitiza ' we are un-rogable '!!
kuna mmoja alijaribu..!
Basi ungeweka wazi kua WANAWAKE WA KISUKUMA MLIO JF MJOIN Group Chat... Na sio kijiwe out of Topic husika
Basi ungeweka wazi kua WANAWAKE WA KISUKUMA MLIO JF MJOIN Group Chat... Na sio kijiwe out of Topic husika
braza tulia basi... mi mbona kazi namalizia hivyo afu wewe unakuja kutibua bana!!
kama vipi ng'ombe 50 badili kuwa usd nikupeeee!!
aargh!
excel bado tu hiyo assignment