Binafsi nimeisoma thread yako mkuu nimeumia sana coz mambo kama haya yanatutesa sana sisi vijana tunaoanza ndoa hasa tukiwa na umri wa kati, hii inatokana na uwezo mdogo wa kuchukua maamuzi sahihi na kwa wakti gani? pindi tatizo linapotokea.
Hili si ttzo dogo kama unavyofikilia sbb litaendelea kukusumbua mda mrefu tu usipokuwa makini anachokifanya huyu sasa usitegemee kama ataacha ghafla au kubadilika ndani ya mda mfupi, ule usemi wa kila mtu atabeba msalaba wake nadhani aanza kuufanyia kazi, inawezekana kabs amebadilika kutokana na mazingira baada ya kupata kazi au wewe mwenyewe umeteleza mahali fulani ktk kufanya maamuzi sahihi.
Nahisi tabia hii imeanza kuota mizizi na si kwamba imeanza leo kama usemavyo bali alikuwa nayo tangu awali ila hukuijua coz hakuwa huru sana kwako kabla ya kupata kazi, ngoja nikwambie kitu kaka inawezekana kosa lako kubwa umeruhusu kwa kiasi kikubwa ayajue mapungufu yako mengi kwa mda mfupi pili ndugu yangu umekosa msimamo haiwekani ghafra tu abadilike kuna mahli kuna weakness upande wako
Ninachokijua mwanamke ni kama mtoto anahitaji maelekezo sahihi ikitokea ukajisahau tu anakudharau sana , jambo lako lolote hasa unaloamini litajenga ndoa haijalishi atalipokea vp mweleze tu akuelewe mlie tyming akiwa amesettle mweleze kinaga ubaga ataelewa tu.
Kamwe usikubali akuyumbishe akutoe kwenye reli hata kama umempenda vp mheshimu mpende lkn uwe na limit,ukijisahau tena ukmheshimu kupita maelezo ukamnyenyekea sana na kulia lia na vsms kama unavyoendelea kufanya AISEE!atakusumbua sana zaidi ya sasa mimi nahisi ttzo siyo kazi aliyopata ukweli ni kwamba umekosa msimamo na maamuzi kama mwanaume, huko kwenye simu na sms zake unahangaika bure kaka, mwanamke hachungwi kama mbuzi au kondoo utapasuka kichwa.
Kama ningekuwa mm ndio ww (inagawa haiwezekani) ningefanya hivi, kwanza simu yake nisingekuwa na mda nayo kbs pili huyu ni mkeo siyo fiancee au girl friend ungejitahidi ucheze na sku zake umtandike kitambi bila yeye kutegemea tatu kama mlikuwa na msaidizi yaani housegirl mpumzishe kwa mda ili huyu aanze kujua wajibu wake kama mkeo, mambo mengine mfanyie maksudi tu ili akuheshimu(ingawa inaweza kuonekana kama utumwa lkn lengo ni kujenga) mfano anaweza tenga chakula harafu mwambie kimaksudi akunawishe mikono akupakulie akimaliza asali harafu ww kimya. ukimaliza kula hivyo hivyo atanyooka tu kama ulikuwa na mpango wa kuwa na watoto zaidi ya mmoja hakikisha hawapishani sana miaka other wise utarudi humu jamvini kuja kulalamika tena kuwa kaja na mpya nyingine!
Ni hayo tu mkuu!