Wanawake wa kisasa na tatizo la "Double standard"

Wanawake wa kisasa na tatizo la "Double standard"

Acha umbea....unafaidika nini?

Ndio maana tunasema nyie ni pasua kichwa mtu anawalalamikia ww tayari umeshaleta uhuni wako hapa alafu tunyamaze tuu never bora ata ungeenda kuandika kwenye uzi mwingine Mokoyo njoo huku
 
Last edited by a moderator:
Hapana bado hatujatafuta mtoto tunavuta muda kidogo tuwe na kwetu kabisa two to three years from now.........mtoto acheze kwenye sebule yao sio ya kwa watu.........ndio inakwenda mwaka wa tatu now.......but we r together tokea 2007........

mh ndugu the main thread nimeielewa na nakuunga mkono ila suala la mtoto umechemsha.eti mpaka ujenge.ukifa leo?usipojenga je?kila mtu angekuwa na mawazo hayo wengine tusingezaliwa .tafuta mtoto acha visingizio since 2007 mtoto angekuwa darasa la 3
 
Kama hao wapo wengi sana. Chakufanya ni kuendeleza kale ka law "Dawa ya jeur ni kiburi"
 
Mkuu mie naona ulichokifanya ni kurudisha heshima iliyokuwepo mwanzo hapo nyumbani ila bado kuna suala la kujiheshimu yeye kama yeye,maana bila ya hivyo unaweza ukaheshimiwa ila yeye akawa hajiheshimu.

.....hahha! Spot on mkuu,....hilo nalo neno,"[....unaweza ukaheshimiwa ila yeye akawa hajiheshimu!]"

.......hii 'movie,' ndio imeanza. Part 2 huenda starring akauwawa, maana bro Samcezar hiyo tabia ya kususia nyumba wiki mbili hulali nyumbani na wala hutaki mawasiliano na mkeo, mnh?!! #TikisaKiberiti

Cc; Dark City, King'asti, The Boss mnalionaje hili?
 
Last edited by a moderator:
Ndio maana tunasema nyie ni pasua kichwa mtu anawalalamikia ww tayari umeshaleta uhuni wako hapa alafu tunyamaze tuu never bora ata ungeenda kuandika kwenye uzi mwingine Mokoyo njoo huku

Tulia basi...mwenyewe mbona katulia? Huwezi jua makubaliano yetu alaa
 
Last edited by a moderator:
Navyojua Mwanamke ni either Pesa ama Mapenzi. Yaani either umpe hela ama ujue "kumsugua" nimetumia neno la mtaani.





Hapana wala si chochoye kati ya hivyo.......ila ni kujitia upumbavu tu kichwani.......ninavyojua ni kuwa hata mimi nikitaka kuendekeza michezo ya kutongozana na videmu hovyo hovyo sishindwi ila huwa najiuliza kuwa vinafaida gani katika safari yangu ya maisha especially katika umri huu nikielekea kuitwa baba wa watoto........hivyo huwa najipa hofu ya kutokuharibu uhusiano wangu tu kwasababu niliendekeza michezo ya kitoto........nadhani hii changamoto inakuja kutakana na mabadiliko ya malezi kwa miaka hii ya kizazi kipya.......leo hii hebu nambie ni wapi wasichana huwekwa kambini au huwekwa chini kupewa mafunzo au training ya kuwaanda kuwa wanawake bora kwa waume wao plus kuwa na misingi ya kifamilia......hakuna hata taasisi inafanya hivyo na hii imetokana na mfumo wa maisha tunayokia sasa ambao hauwaathiri sana wanaume ila unawaathiri wanawake kwa asimia kubwa......hebu pigia picha mtu atoke chekechea hadi anapofikia degree au masters......kama ni kichwa nazi anajitrain vipi kujua maisha inje ya shule ndio maana wengi leo wanatamaa ya pesa wanapokuja stuka inakuwa too late age imekwenda na hawana option yeyote zaidi ya kugombania waume za watu....kutoka na watoto wadogo......au kuwa na msongo wa mawazo na kuwa vichaa.......ndio maana mikoa kama moshi vichaa wa kike ni wengi kutokana na msongo wa mawazo uliotokana na kuishi wakipambana bila wanaume katika maisha yao.........
 
Hongera kwa kumpenda mkeo.





Asante bi dada......kusimamia kiapo si kazi ndogo...........kuna mda unataka ukomoe lakini duh unawaze si mwenyewe uliingia mkataba naye.......bac ndio hivyo tena inabidi kukomaa naye kumuweka sawa...
 
Job Well Done! Keep it up Man!!!






I will my friend.......nakomaa kiume.......wanamakusudi sana ila huwa wanaelewa kuwa wanafanya kusudi......dawa ni kwenda nao taratibu tu hadi tupate wajukuu......
 
mh ndugu the main thread nimeielewa na nakuunga mkono ila suala la mtoto umechemsha.eti mpaka ujenge.ukifa leo?usipojenga je?kila mtu angekuwa na mawazo hayo wengine tusingezaliwa .tafuta mtoto acha visingizio since 2007 mtoto angekuwa darasa la 3





Yaani kiukweli hata me nadhani ndio lililobaki akienda ofisini na kitumbo ndio ataheshimiwa maana naona haya mapepe sometimes yanakuja kwasababu kichwa chake kinakosa mambo muhimu ya kiwaza kama mtoto amekula nini.......anaendeleaje ndio adabu itakuwepo memory ya kichwa itakuwa busy na kuwaza majukumu ya familia badala ya upuuzi........
 
ukimpenda sister du na unajua kumuacha huwez kwa jinsi alivyouteka moyo wake iblnabidi umzalishe fasta fasta ili kumbadilisha akili yake..

hapo angekuwa mama wa watoto wawili tayari plus mumewe wa tatu kuchat kungeisha automatic
 
Hapana bado hatujatafuta mtoto tunavuta muda kidogo tuwe na kwetu kabisa two to three years from now.........mtoto acheze kwenye sebule yao sio ya kwa watu.........ndio inakwenda mwaka wa tatu now.......but we r together tokea 2007........
2007 - 2015 = 8 mpaka sasa hakuna matunda ya ndoa !!! Halafu ukichapiwa unalalamika !!! Sasa nini kitamfirisha mkeo na kumkeep busy asiweze kuchat muda wote. Aidha, kwa miaka hiyo tayari mnaelekea kuzoeana kama kaka na dada, ndo maana wakati mwingine hafeal your presence.
 
Ndio maana tunasema nyie ni pasua kichwa mtu anawalalamikia ww tayari umeshaleta uhuni wako hapa alafu tunyamaze tuu never bora ata ungeenda kuandika kwenye uzi mwingine Mokoyo njoo huku





Ni elimu sahihi wanakosa hawa wenzetu ili waweze kusimamia misingi na wajibu wao katika mahusiano ..........cha msingi ni kwenda nao taratibu......
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Samcezar...niliposoma ile thread yako ya mwanzo kuhusu yule mzee nilifikiria sana nearly two days....nikajua there will be big problem coming,leo nilivyosoma hii tena ,lazima nikwambie ukweli...mkeo ana tatizo ana silka za umalaya, ambazo kuzituliza itachukua muda sana na itakucost mno...jua kabisa ana mahusiano nje...ndio maana hana hamu ya kufanya mapenzi,mnapoenda Muombe sana MUNGU...
 
Shida ya wanawake wengi ni kuwa akishapata Nguvu za kiuchumi tu tayari anadhani yeye na wewe mnalingana katika kuongoza familia, anasahau kuwa mwanaume ni mwanaume tu na ndiyo kichwa cha familia (kwa mujibu wa maandiko matakatifu) hivyo huyo mkeo alianza kuzuzuka baada ya kupata Kazi huko TRA na kuanza kulamba mpunga.Shame on her! NB: Mchango wangu huu nimeutoa nikiamini kuwa ulichoandika ni ukweli vinginevyo ningepaswa kwanza kumsikia na mkeo anasema nini kuhusu hiyo issue.

umenena vyema mkuu,
 
Wanawake bhana,sasa kwa vile anaona keshapata vihela vya TRA vya kununulia lace wing za laki sita anajiona kafikaaa,hadi lugha ya kuongea anabadilisha utamsikia OMG.... huku akirusha wigi la mchina na kujifanya mzungu kwa kuchart na wanaume vimessage visivyo na kichwa wala miguu et anasema kusocialise,anasahau ndoa yake kabisaa puuuuuh!
 
Back
Top Bottom