bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 8,094
- 7,849
Samcezar 'double standard' maana yake ni 'ndumila kuwili' - siyo kujipa thamani mara mbili.
Labda hiyo ni kwa tafsiri uliyoipa mwenyewe.
Labda hiyo ni kwa tafsiri uliyoipa mwenyewe.
Ni namna ya kumuonyesha kuwa sijaridhishwa na mwenendo wake.......na ni njia ya kistaarabu ya kumuelekeza mwanamke .......ningemtoa yeye isingekuwa ustaarabu hata kama kanikosea......Mwanaume unafunga virago na kuacha mji wako???
Anyway hapo kuu imeunganisha wanawake woooote sio wote wanafanana tabia na mkeo Mkuu
Nachokwambia ni cha kweli.........kwanini nidanganye........ila yeye hayupo jf......pengine angeiona hii thread ungeweza muhoji...........!Ila amenizingua kwa staili hiyo ndugu yangu.......!Shida ya wanawake wengi ni kuwa akishapata Nguvu za kiuchumi tu tayari anadhani yeye na wewe mnalingana katika kuongoza familia, anasahau kuwa mwanaume ni mwanaume tu na ndiyo kichwa cha familia (kwa mujibu wa maandiko matakatifu) hivyo huyo mkeo alianza kuzuzuka baada ya kupata Kazi huko TRA na kuanza kulamba mpunga.Shame on her! NB: Mchango wangu huu nimeutoa nikiamini kuwa ulichoandika ni ukweli vinginevyo ningepaswa kwanza kumsikia na mkeo anasema nini kuhusu hiyo issue.
Jeuri hii ni ya chekechekea best........huyu anajua kwa jinsi nilivyotoka naye mbali akileta za kuleta atajitia mikosi maana nimem'badilisha kwa mengi na kuvumilia utoto mwingi ..........sasa anajua yupo na mtu mzima......Humuwezi tena keshaota pembe mpaka uneamua kuleta hoja maji ni ya shingo pole Mkuu
Jeuri hii ni ya chekechekea best........huyu anajua kwa jinsi nilivyotoka naye mbali akileta za kuleta atajitia mikosi maana nimem'badilisha kwa mengi na kuvumilia utoto mwingi ..........sasa anajua yupo na mtu mzima......
Ngoja nikupe siri......unaona ni kwanini huwa tunawapenda mama zetu ni kwasababu ni wanawake ambao walijitoa kwetu.......sasa hata wewe utakapojitoa kwa mtu na kumvumilia kwa yote......siku unapokuwa mbali na yeye atahisi sehemu ya maisha yake inatoka..........ndicho nilichomuonyesha.......
Ha ha ha ha ha ha ha ........isambe ntake radhi .......mimi si marioo......nina kazi yangu na huyu mwanamke kila siku anafungua wallet yangu kuchukua pesa ya matumizi.......na karibia asilimia 80% ya expenses mimi ndiye msimamiaji ........Hiyo ni super marioo, huoni anasema alikuwa akimsindikiza na kumbebea handbag asubuhi wakati anaenda kazini, acha yamkute!!.
Uhuru.....thats y nimeonelea kipindi cha likizo tukalipie huduma ya marriage counseling kwa wataalamu kama dk. mauki au dk.mkongo ili wampe muongozo maana siku hizi tunachukua mabinti ambao hawana ufahamu kuhusu mahusiano ya ndoa hata kidogo ingawa wapo kwenye umri wa kuperform majukumu ya ndoa.......Mkuu mie naona ulichokifanya ni kurudisha heshima iliyokuwepo mwanzo hapo nyumbani ila bado kuna suala la kujiheshimu yeye kama yeye,maana bila ya hivyo unaweza ukaheshimiwa ila yeye akawa hajiheshimu.
Hapana si kweli.......ndumi la kuwili ni traitor...........mtu ambaye anashika jambo moja huku anataka kufanya jingine........kama unataka kuhakiki naomba ugoogle hilo neno utapata tafsiri yake mtandaoni.........double standard kama linavyojielezea lina maanisha kuzidisha kiwango......au kupitiliza.......mifano ipo mingi kuelezea double standards......Samcezar 'double standard' maana yake ni 'ndumila kuwili' - siyo kujipa thamani mara mbili.
Labda hiyo ni kwa tafsiri uliyoipa mwenyewe.
Jeuri hii ni ya chekechekea best........huyu anajua kwa jinsi nilivyotoka naye mbali akileta za kuleta atajitia mikosi maana nimem'badilisha kwa mengi na kuvumilia utoto mwingi ..........sasa anajua yupo na mtu mzima......
Ngoja nikupe siri......unaona ni kwanini huwa tunawapenda mama zetu ni kwasababu ni wanawake ambao walijitoa kwetu.......sasa hata wewe utakapojitoa kwa mtu na kumvumilia kwa yote......siku unapokuwa mbali na yeye atahisi sehemu ya maisha yake inatoka..........ndicho nilichomuonyesha.......
Best........nangojea kwa hamu sana afanye huo upuuzi ambao akili yake itamtuma maana nina set ya mbinu za kuadabisha bila kumuaibisha wala kumdhuru ila mwisho wa siku atajua kuwa alikuwa anacheza na wavulana ila yupona mwanaume.......kuhusu hilo najiaminikuwa nitamrekebisha mara tu atapofanya ujinga wowote.......Huyo mwanamke atakusumbua kila siku.
Hapo ni kama ametuliza mzuka, wajanja wameshakuwahi.
nafurahi kusikia hilo my loveAah switie mimi siwezi kubadilika. Mimi ni yule jana na leo na kesho
Yes brother .......ndiye yule yule.......ndio nakomaa naye hapa .......ndoa ni ngumu ndugu yangu ..........bado ananiletea majaribu ingawa sasa hivi ni mizaha mizaha tu......tofauti na kipindi kile........yule jamaa alinijia na polisi.........kunishtaki kwa uharibifu wa mali......polisi m'moja aliyekuja naye ni mwanangu hivyo nikaitwa tu kituoni bila kukamatwa kwa shurti......tulipofika kituoni nikaambiwa niandike maelezo......nikasema sawa nitaandika kwa sharti moja......mke wa yule mzee aitwe awe shahidi katika hiyo kesi......mbona mzee aliingia mitini maana alijua hiki kisanga kikimfikia mkewe ni inshu so kesi ikapotea kisela hivi hivi.Mkuu, huyu ndo yule mwanamke ambae amekuwa akikusumbua kwa mda mrefu?....Yule ambaye alisababisha ukampiga mshkaji na chupa kichwani na kumpasulia vioo vya gari lake kule Tabata Segerea?....
Kama ndio yeye huoni kama umedata sana nayeye kuliko yeye alivyodata na wewe?....mapenzi yanakuelemea sana mkuu wakati kwa mwenzako ni mepesi.....angalia sasa hivi ikitokea mzozo unakimbia mji wako....inaonekana mtu wako huyo bado ana akili za kitoto......
Ishi naye kwa akili sana.....
Mtu wako akishajitambua nafasi yake na wajibu wake atakua fresh.....Yes brother .......ndiye yule yule.......ndio nakomaa naye hapa .......ndoa ni ngumu ndugu yangu ..........bado ananiletea majaribu ingawa sasa hivi ni mizaha mizaha tu......tofauti na kipindi kile........yule jamaa alinijia na polisi.........kunishtaki kwa uharibifu wa mali......polisi m'moja aliyekuja naye ni mwanangu hivyo nikaitwa tu kituoni bila kukamatwa kwa shurti......tulipofika kituoni nikaambiwa niandike maelezo......nikasema sawa nitaandika kwa sharti moja......mke wa yule mzee aitwe awe shahidi katika hiyo kesi......mbona mzee aliingia mitini maana alijua hiki kisanga kikimfikia mkewe ni inshu so kesi ikapotea kisela hivi hivi.
Ha ha ha ha ha ha ha ........isambe ntake radhi .......mimi si marioo......nina kazi yangu na huyu mwanamke kila siku anafungua wallet yangu kuchukua pesa ya matumizi.......na karibia asilimia 80% ya expenses mimi ndiye msimamiaji ........so hapo sipo kwenye kuwa tegemezi mimi sihusiki tafadhali......na huwa ninamsindikiza maana yeye huwa anaingia jobu saa mbili mimi natoka maskani saa tatu na nusu au saa nne so huwa sioni vizuri kumuacha aende road pekee yake........