mito
JF-Expert Member
- Jun 20, 2011
- 10,811
- 11,031
Weeee! ina maana mimi ni mchoyo au? kwanini usiniombe mimi mwenyewe nikurushie cv yangu?? ni mwalimu wa shule ya serekali hapa hapa dar. Nina uzoefu wa kazi hiyo wa miaka 9 sasa. Nitastaafu miaka ya 2040 na kitu. Nitafurahi kufundisha m/wanao.
Hahaa ningekuomba mwenyewe ungenizungusha bana, nakukumbuka sana ulivyonipelekeshaga siku ile tunadiscuss realities na culture
Ila naona sijafanikiwa, nimeingia chaka vile vile.......manake niliyemuomba naye kanirusha mita mia
cc RRONDO
Last edited by a moderator: