mzaramo
JF-Expert Member
- Sep 4, 2006
- 6,371
- 5,194
Hapana bado hatujatafuta mtoto tunavuta muda kidogo tuwe na kwetu kabisa two to three years from now.........mtoto acheze kwenye sebule yao sio ya kwa watu.........ndio inakwenda mwaka wa tatu now.......but we r together tokea 2007........
umesema toka 2007 mpaka leo amna mtoto!!!!?
wanaume wa kizazi kipya bhana kumbe ndio maana huyo mwanamke anakuona boya