Wanawake wa kikurya ni nomaa

Wanawake wa kikurya ni nomaa

Think2

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2025
Posts
2,193
Reaction score
3,958
Wewe kama ni kabila tofauti na wakurya sikushauri uoe mwanamke wa kikurya sababu ni hizi
◇ wengi wao ni wababe sana ugomvi hauwezi kuisha
◇ kwenye kupigana jitahidi visu mapanga unaweka mbali 😁
◇ mwanamke wa kikurya humpigi bali mnapigana
◇ Wanaviburi vya asili sana
◇ ugomvi kidogo wanakimbilia mapanga hao watu sio salama kbs
◇ Kwenye uchawi pia usipime hawa ndo huwa wanaroga wanaume unakuwa zuzu
◇ Akienda kwao akirudi lazima awe na mafurushi ya dawa za kienyeji
◇ Afu wengi wanaongea sana unakuta mwanamke anabishana na mme kama mtoto wake.

NB: Wazaramo na Tanga msijaribu kila siku mtakuwa mnapigika tu.
Wasukuma wanashindwana na mkurya sababu ya uchawi wakurya hawarogeki kirahisi ni mara chache sana kukuta ndoanya mkurya na msukuma inaamani
 
Lazima wawe hivyo kwa sababu ya malezi wameprogramiwa hivyo kwa sababu wanashuhudia ukatili mkubwa utotoni either wazazi wanapigana, tukanana,dhalilishana mbele ya watoto.
So na wao wakiingia kwenye ndoa wanataka mwanaume mvuta bange wa kumzibua ili akae sawa, ukiwa muungwana na mstarabu kwa afya yako ya akili don't try this at home
 
Umekutana na mjita, mkurya hapendi urogi wala kuongea sana hasa kwa mumewe ni mnyenyekevu na msikivu mno. Kwa vile wote wanatoka mkoa wa Mara hata wajita nao hujiita wakurya kuficha identify yao sababu ya sifa zao kuu za kupenda sana madawa na kutokukaa kwenye ndoa. KERATO MOMBAA muelimishe huyo
 
Back
Top Bottom