hill and portion
JF-Expert Member
- Sep 26, 2014
- 1,236
- 744
So your wife (being a one among thousands if not hundred thousands of chagga women) is a representative of all chagga women in Tanzania, right? Grow up. Ukabila utawafikisha pabaya all you chagga bashing people in this forum. For your information wachagga are the most hard working and educated people in Tanzania. That is in their history, go google their history then you will know biashara na ujasiri mali is in their blood. So bashing them aint going to make you all feel better or make your tribe better than them.
Pole kwa msalaba uliobebaWenzetu mlizaliwa benki au kwenye taasisi ya fedha,unakuta anakuambia pesa kwake ndio kila kitu,unajiuliza amezaliwaje,analipia wapi pumzi yake,umemuoa anapenda malumbano,kitu kidogo anagombana hatari.
Unafanya anavyotaka lakini siku ukishindwa kidogo, yale yote yaliyopita yamefutika pia, kama game zisizo na save option.
Unajuta kuoa, maana kuacha unawaza mwanao ataishije, wewe uliishi bila baba au mama unapenda mwanao afurahie kila uwepo wenu,hutaki apate shida,lakini kwa hili unajikuta unatamani kushindwa kuliko kushinda.
Hujajibu swali watu8 ni matambiko gani wanawafanyia yanayowafanye watu wengine washindwe kuishi nao?
Umemuoa anapenda malumbano, okay, kwa hiyo ulikuwa unavumilia au unapenda na wewe malumbano toka mwanzo, sasa kwa nini unalalamika? Unaji contradict! Ni sawa na kusema mwanamke wangu amekondeana sana simpendi tena na shepu yake hii, na nilimuoa akiwa mwembamba sana! Sasa ambacho hukukijua ni nini toka mwanzo?umemuoa anapenda malumbano,kitu kidogo anagombana hatari.
Aisee mm hata nikipendwa na mchaga nasamehe maana kinachofata pesa
Mtoa mada pole sana...lakini hayo uliyoandika huku sidhani kama yatakusaidia kunusuru ndoa yako
Siku hizi hatutumii stout tena........tunatumia vi Amarok kwendea shambani........si ni ki pick up kile........
Wenzetu mlizaliwa benki au kwenye taasisi ya fedha,unakuta anakuambia pesa kwake ndio kila kitu,unajiuliza amezaliwaje,analipia wapi pumzi yake,umemuoa anapenda malumbano,kitu kidogo anagombana hatari.
Unafanya anavyotaka lakini siku ukishindwa kidogo, yale yote yaliyopita yamefutika pia, kama game zisizo na save option.
Tatizo siyo mchaga ndugu, tatizo Ni wewe hukufanya upenbuzi, mbona Mimi Nina mwanamke wa kichaga Ni mtuluvu Sana, na
Unajuta kuoa, maana kuacha unawaza mwanao ataishije, wewe uliishi bila baba au mama unapenda mwanao afurahie kila uwepo wenu,hutaki apate shida,lakini kwa hili unajikuta unatamani kushindwa kuliko kushinda.
[/QUOTE
Tatizo siyo mchaga ndugu, tatizo Ni wewe hukufanya upenbuzi, mbona Mimi Nina mwanamke wa kichaga Ni mtuluvu Sana, na hapo kabla nlishakuwa nao wawili but tuli achana kwa mambo ya ujana Tu, mkuu mi nafikiri Ni wewe ulikosea kufanya chaguzi, hakuwa type yako, nakwambia hivyo kwani Mimi Kuna mmoja nlikuwa naye alikuwa Si msumbufu kwangu Na alinisikiliza, Na siyo kwa sababu nlikuwa nna uwezo wa Ku mprovidia, NO, she was within my control, but kwa sasa hiyo aliye naye analipata joto la jiwe, Na Mimi nilijua kuwa Kama angeenda kwa mtu mzembe basi hiyo mtu angeipatapata.
Cha msingi unapofanya chaguzi angalia pia control power uliyonayo, tatizo Ni kuwa wakati wa uchumba tunaogopa kufanya hiyo test tukihofia kumwagwa, but mwisho WA siku ndo malalamiko Kama hata.
Pole kaka.
yebo kumekucha mpaka january nadhani itakuwa balaa nijiandae kuvimba mashavu na moyo kuumia kwa misuto mfululizo msimu huu loh
Kuna mtu aliyekulazimisha uwafuate? huwezi si unaacha? yanini kulalamika mziki mbovu kumbe we ndio hujui kucheza?? Ukiona huwawezi we chapa lapa.... wanaowaweza watawachukua na wala hutasikia hiki kilio kama cha fisi mwenye njaa aliyekosa mzoga.