Eliza wa Tegeta
JF-Expert Member
- Dec 4, 2011
- 251
- 108
Hahaha!! Babu banaa unajua Fidel alienda Fea Wei akamuhonga Eliza laptop matokeo yake ndiyo haya sasa amelog-in imekuwa balaaa
We unachanganya wa King Star na wa Zero Pub.Niliyechukua amesha kuwa marehemu mbona umesahau mpwa?
Na weye wataka kunjua sana eeh!!....ha ha ha ah ahhhahahaha!
yani wewe ndo umeshindwa kabisa kujificha!...mpwa bana hahahahahahahah!
Hahahaha!!! Teamo mimi niliishamsoma kitambo huyu ameshindwa kujificha kabisa :lol::lol:....ha ha ha ah ahhhahahaha!
yani wewe ndo umeshindwa kabisa kujificha!...mpwa bana hahahahahahahah!
Heee heee heee!!!
Wachekesha (source:FF)
Kama vp jinyonge tu,Tunaye tunamgawana kwa zamu,
Chezea wadada wa JF Utalala hoi BIBI,
Ongeza mapovu mtoto wa kike,Ni wako akiwa kitandani tu zaidi ya hapo tunaye sisi lol!
PM ni nini. na wewe inamaana huchati na watu humu JF. Ulijuaje kama kuna wanawake wanachart hadi usiku wa manane?
basi na wewe umo. kwahiyo mume wako atakuwa zezeta basi
We unachanganya wa King Star na wa Zero Pub.
Hivi yule dogo CPU kapotelea wapi?
ha ha ah ha!.....
hii kesi ya hii aidii inabidi auziwe nani hii wajameni?
tupige kura kati ya hawa:
teamo
asprin
cpu
ld
askofu
uwe unarudia kusoma unachotaka kupost kabla hujafanya hivyo. kunjua maana yake nini?Na weye wataka kunjua sana eeh!!
ahsante canta! umewakilisha,mdada amemezeshwa mijusi mibichi basi mipovu inamtoka tu!!!acha tumsaidie kumtunzia mume!!Heee heee heee!!!Wachekesha (source:FF)Kama vp jinyonge tu,Tunaye tunamgawana kwa zamu,Chezea wadada wa JF Utalala hoi BIBI,Ongeza mapovu mtoto wa kike,Ni wako akiwa kitandani tu zaidi ya hapo tunaye sisi lol!
Mnavyopenda umbea na ku-discuss sweet nothing mmekuja kupiga kambi hapa.
Hahahaha Join Date : 4th December 2011 :nerd:
Unatafuta umaarufu mavi.
Hapo Bold.... msemo huu mbona kama wa FF? Ngoja akusikie!Endelea kutoa povu!
hunijui sikujui, povu unamtolea nani sasa!!
unachekesha.