Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,193
- 3,011
Wadanganyika kwa kupenda kupoteza mda bana..salale/
:eyebrows:..... 1+1 = 11
porojo na kudi-scuss sweet nothing!!Wadanganyika kwa kupenda kupoteza mda bana..salale/
Mapepo yanasehemu yake ... sio huko unakoniitia.
:eyebrows:..... 1+1 = 11
:eyebrows:..... 1+1 = 11
Pamoja mamito,ahsante canta! umewakilisha,mdada amemezeshwa mijusi mibichi basi mipovu inamtoka tu!!!acha tumsaidie kumtunzia mume!!
Bila ya wasi Eliza wa Tegeta ni Premium member..........Afadhali wewe umetumia busara. Leo ninao tu, wanaofikiri nimevunja sheria za JF waende kwa Max.
Wanaofikiri mi mshamba, waninunulie power tiller
wanaofikiri wananijua, waje kununua samaki hapa gengeni basi.
:juggle:
Wanaume wote wa JF jukwaa hili la MMU by the powers vested in me by myself nawakataza kuchangia hii mada na kuwaagiza kila mmoja achukue bia na kuagiza nyama choma au popcorn na kukaa pembeni. Tuwaache dada zetu wapeane elimu. Ila mnaruhusiwa kuendelea kuzungumza kwenye PM
MMM
huyu ni extension cable...a.k.a CPU
Afadhali uje na ile ID yako tuliyoizoeaSasa endeleeni......
Tutaonana majaliwa yake Mwenye enzi.
Umesema vema, ila naomba kuongeza na wanawake wenye akili ya kiume kaeni pembeni.
Sasa kama ni mwanaume unataka kutuambia kuna uhusiano na Dave Cameroon? Yaani anakameruniwa na limjamaa la JF? Afu hilo likameruni nyie midada ya JF mnalizengea mpaka usiku wa manane? Mi mnanichanganya mjue.......Pamoja mamito,
Tena huyu anatuogopa mbona kabadili ID,
Japo nishamhisi ni mwanaume ila Vidonge vyetu lzm ameze kwa kujibadili jinsia lol!
Kashindwa kumpa maneno matamu MMEWE,mpaka anakesha na sie JF!!
Umeshindwa kumkuna katuletea kipele wadada wa JF tumejulia kumkuna!
Bila kujijua Mmeo kakolea anasikilizia unajishangaa kubaki kitandani peke yako pole!
Bila ya wasi Eliza wa Tegeta ni Premium member..........
mbona wamekuchukulia mume usiku kucha kitandani njoo kwngu mimi mpweke nikupe raha zote za dunia najua mapenzi mimi?pole kwa ku-liwa.
Jf ni salama........source, mimi mwenyewe.
Yaani CPU siyo?Afadhali uje na ile ID yako tuliyoizoea
hahaha lol...sicomment hapa, kuna mod flan hivi ananitafuta sana!!Yaani CPU siyo?
Source: Teamo.