mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 39,286
- 44,852
Hayo maneno hata kwenye kanga yapoooo.......Nakubaliana na wewe mleta mada.
Wanawake wa mkoani wengi wao hata umuhimu wa kusafisha vizuri papuchi zao hawauoni .
Jiwe gizani.Hayo maneno hata kwenye kanga yapoooo.......
Hujawahi fika Tanga weweNiwapongeze kwa kuipenda miili yenu, wanawake wa Dar mkitembelea mikoani mnakuwa na mionekano tofauti na wa huko mikoani.
Wengi wanawaamini katika sekta ya kujiremba na pia kukiwa na sherehe mikoani ninyi wanawake wa Dar endapo mkiwa huko mikoani mnapewa sekta ya mapishi na mapambo.
Hongereni sana wanawake wote wa Dar
dar mtu ukiamka unaenda bafuni kuoga ndo mambo mengine yafate.mkoani misele weee hadi saa ya kulala ndo kuoga tena baadhi ya siku .
Jiwe gizani.
Hapana sijakuone mdogo wanguJamaani mkuu unanionea bana, nimewaamlia wapi mie.