Wanawake wa Dar na mapenzi according to money level

hii inaonesha wanawake wamekata tammaa, nguvu pekee waliobaki nayo ni mwili wao. mademu njaa sana. kichwani sifuri. hawana aibu hata kidogo...ombaomba sana.
 
Wanawake wa Dar wana Viwango
vyao vya Hela..
Ukiwa unampa 50,000-90,000
utakuwa unaitw aJina lako tu,
Goodmorning Kelvin..Hallow Kelvin
How is your Day...Goodnite Kelvin

Ukiwa unampa kati ya 100,000 na
150,000 utakuwa unaitwa
DEAR...Morning Dear..Umeamkaje
Dear..Dear Umekula??Usiku mwema
Dear usisahau kuniamsha Asubuhi

Ukiwa unatoa kati ya 200,000-300,000 hapa utakuwa
unaitwa BABY...Baby Hows ur
day..Baby naumwa kweli leo...Baby
naenda Mwenge see u later.

Ukihonga 300,000 na kuendelea
hawa ndo wanaitwa HUBBY AKE...Utapendwa wewe hadi
ushaangae...Kila kitu Hubby
Ake...Hubby nimejikwaa...Hubby ndo
nafunga mlango...Hubby kuna
Mende chumbani njoo tulale
wote...Hubby hivi unanipenda??NA swali lao KUU,Hubby hivi utanioa
lini??

Chagua jina unalotaka...Mahaba ya
siku hizi ni kama MENU ya MPESA,
Unajihukumu mwenyewe
Wengi mtakuwa mnaishia kuitwa DEAR na BABY tu...Tikisa Wallet
kidogo na wewe kabla hujafa uitwe
HUBBY AKE

NB:KAMA HUNA HELA,WANAWAKE WAZURI UTAISHIA KUWAITA SHEMEJI

Wizi mtupu?
 
ukiona huombwi pesa na mpenzio basi fahamu kuwa unaibiwa mchana kweupee
Sasa kwa nini wanaume wanalala mika kwamba mabinti wa siku hizi wanapenda chapaa, kama hili swala limeshaonekana ni la lazima.
Me kuna mwanachuo niko nae katika mahusiano kwake swala la kuniomba pesa ni ngumu sana, alisha niambia hato niomba pesa kamwe sio kwa sababu sina au ni bahiri hapa.
Pesa ya matumizi na kadharika ipo nahata yeye anajua kabisa kwamba na piga pesa katika mishe zangu, anachokidai anategemea wazazi wake na ndugu zake haitajia kunipa mzigo mimi.
Hata huyu pia utasema ni mwizi wa mchana?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom