Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 28,029
- 52,507
Nimekumbuka beirut
Ye mwenyewe mleta mada akipata warembo wawili wa kiarabu na mswahili, atampa kipaumbele mwarabu...halafu hapa awalalamikia wadada wa kiswahili kwa kuwapa promo wanaume wa kiarabu.Mikuyati mweupe inamvuto buana,
halafu watu tunatafuta upekee yaani ukoo mzima vipilipili unaonaje wewe ukileta mtoto mwenye nywele za kisinga
wanaita tuziii.yaheee tuzi tamm y dada nimeeka kdg kwny kibiriti yahee niwe nnusa nnusa



Wana sura nzuri, mionekano ya kitajiri hata akija na ist binti haruki.
Sisi wenye sura za kuaga miili hata tukiendesha cruiser Bado Kuna kaugumu.





Mkuki kwa nguruwe....Ye mwenyewe mleta mada akipata warembo wawili wa kiarabu na mswahili, atampa kipaumbele mwarabu...halafu hapa awalalamikia wadada wa kiswahili kwa kuwapa promo wanaume wa kiarabu.
Dah!..🙄🙄🙄...Mikuyati mweupe inamvuto buana,
halafu watu tunatafuta upekee yaani ukoo mzima vipilipili unaonaje wewe ukileta mtoto mwenye nywele za kisinga
Pole ehneee😁😁Dah!..🙄🙄🙄...
"sura za kuaga miili"Wana sura nzuri, mionekano ya kitajiri hata akija na ist binti haruki.
Sisi wenye sura za kuaga miili hata tukiendesha cruiser Bado Kuna kaugumu.


lolSasa mnatukanana kwa sababu gani wakuu? Hii mada inatakiwa iwe ya ku-refresh minds zetu sio kutukanana! Ombaneni radhiNa mama ako pia wakamfukunyua aisee
Baba hela hela.. hujui hata top tena ya matajiri wengi hapa kwetu ni waarabh boss![]()

Kama walivo mla Dada ako nyuma
Sasa mnatukanana kwa sababu gani wakuu? Hii mada inatakiwa iwe ya ku-refresh minds zetu sio kutukanana! Ombaneni radhi