Wanawake wa Aina hii ni hatari kaa nao mbali

wazee wa tecno utawajua tuu, uliona ni heri nusu shari kuliko shari kamili

Watu wa iphone ata nikiwa nina 6 kavu akija mwenye x mas namuona tupo level moja 2 hawa wa tecno wakiona hata 4s na 5plain wanafyata
 
Leo nilikua naingiza Nyimbo kwenye banda 1 la stationary nilimkuta Dada m1 very beautiful.. Japo akili yangu niliwaza lazima atakua na mtu tu. Nilikua nahamisha Nyimbo kutoka kwenye simu kupeleka kwenye flashi akaniambia zisipo play utajulisha nitakupa namba ya simu .

Kidogo tu akatoa simu 1 kali Sana ilikua inaita.. Ile anapokea ikaita nyingine kali kama Ile ile tena kuliko yangu.. Nikagairi hata kuchukua namba yake ya simu.

Nikaaga akasema vipi namba ya simu nikamwambia nitakukuta naenda hapo kununua vocha nitarudi.. Ki1 hadi home..

Sent using Jamii Forums mobile app
ILinitokeaga hii, demu anasema hana simu namba yake hakunipa kwa kuwa hana simu. Alijichanganya akanipa namba ya mama yake ( kwa kuwa hana simu nikimuhtaji nipige hyo) nilimchezesha mama yake ngotengote hadi alinipa namba ya mwanae. Nilimpanga binti kwa wiki mbili mbili mfulurizo siku naenda kwao namkuta na Iphone 6+ kitu hakina hata miezi 3

Leo hii analia nimuoe na hajawahi nipiga mzinga wowote.

Ni mkali,amesoma,anajielewa pia. Sema uhuni wangu bado naona sina nafasi ya kumuweka ndani kwa muda huu. Na soon anaweza kusepa maana anaona sina mpango wa kumuweka ndani.


Hivi vitu tunaogopa tuu lakini ukijitoa ufahamu utawin mkuu. Ni wengi wanaogopa watoto wenye kumiliki vitu vikubwa na kwa namna hiyo wachache wenye uthubutu hufanikiwa. Trust me demu yeyote mkali ambae anamiliki vitu vikali tengeneza urafiki tuu wakawaida ila ukiend Kwa nia ya kumtongoza nafsi itakusuta na kujikuta unaogopa kutokana na status yake hivyo utafeli mapema.

Rudi chukua namba na kabla hujaanza ongea nae kwenye simu anza kupiga nae story za utani wa hapa na pale ili upate cha kuanzia wakati wa kuchati na kuongea nae kwenye simu. kesho kutwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi hata uwe na range nakupiga sound vyema mwanamke hataki mwanaume muogamuoga
 
Leo nilikua naingiza Nyimbo kwenye banda 1 la stationary nilimkuta Dada m1 very beautiful.. Japo akili yangu niliwaza lazima atakua na mtu tu. Nilikua nahamisha Nyimbo kutoka kwenye simu kupeleka kwenye flashi akaniambia zisipo play utajulisha nitakupa namba ya simu .

Kidogo tu akatoa simu 1 kali Sana ilikua inaita.. Ile anapokea ikaita nyingine kali kama Ile ile tena kuliko yangu.. Nikagairi hata kuchukua namba yake ya simu.

Nikaaga akasema vipi namba ya simu nikamwambia nitakukuta naenda hapo kununua vocha nitarudi.. Ki1 hadi home..

Sent using Jamii Forums mobile app
umefanya vzr, ungekubali tu angekuweka kwenye orodha ya mabuzi wake. Ungepigwa mizinga mpaka akili ikae sawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo nilikua naingiza Nyimbo kwenye banda 1 la stationary nilimkuta Dada m1 very beautiful.. Japo akili yangu niliwaza lazima atakua na mtu tu. Nilikua nahamisha Nyimbo kutoka kwenye simu kupeleka kwenye flashi akaniambia zisipo play utajulisha nitakupa namba ya simu .

Kidogo tu akatoa simu 1 kali Sana ilikua inaita.. Ile anapokea ikaita nyingine kali kama Ile ile tena kuliko yangu.. Nikagairi hata kuchukua namba yake ya simu.

Nikaaga akasema vipi namba ya simu nikamwambia nitakukuta naenda hapo kununua vocha nitarudi.. Ki1 hadi home..

Sent using Jamii Forums mobile app
haaaaaaaaaaaa!!!! Kumbe mkuu alitoa silaha ya smartphone hatari kweli tutakua makini
 
Hahaha kweli huyu ndezi watu tunaweza unga tela na demu anaezuga anaongea na simu kuanzia kariakoo mpaka kamata ili akikata tu simu tuchukue tarakimu..
 
Back
Top Bottom