Sasa mbona wewe mawazo yako ulipeleka sehemu nyingine badala ya kujikita kwenye biashara yenu
Soma uzi vizuri mkuu sisi wanaume tunajijua wenyeweSasa mbona wewe mawazo yako ulipeleka sehemu nyingine badala ya kujikita kwenye biashara yenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Our doubts are our traitors which often make us lose the gain we might have won by failing to attempt!Mwanmke anapenda kuambiwa napendwa mkuu hata kama anamiliki nini!Neno nakupenda linatosha kumlainisha!Acha uoga wako mkuu uwe mwanaume sio mvulana!
Hahahahahahahhahah computer tena!???Sasa kwani ww unadhani huyo dada alikuwa anakutaka?!...huna hata computer nyumbani au kazini akutakie nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kama wewe umeshindwa usiwaambie na wenzio wakae mbali confidence mnatofautiana
Mkuu nikikuambia uniambie sababu ya kuniita boya utanijibu? Sijafika kwa ugomvi hapa kama huezi comment pita
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] alooo hatari sana boss
Sina mpango na tabia za Aina ya mdada huyuHasa wewe simu zake za bei na wewe kutaka papuchi yake vinauhusiano gani?
Hatuzungumzii comfidence mkuu siku hizi dunia umebadilikaSasa kama wewe umeshindwa usiwaambie na wenzio wakae mbali confidence mnatofautiana
Sent using Jamii Forums mobile app
Watoto kama hao unakula mzigo na izo Simu zote anakuhongaLeo nilikua naingiza Nyimbo kwenye banda 1 la stationary nilimkuta Dada m1 very beautiful.. Japo akili yangu niliwaza lazima atakua na mtu tu. Nilikua nahamisha Nyimbo kutoka kwenye simu kupeleka kwenye flashi akaniambia zisipo play utajulisha nitakupa namba ya simu .
Kidogo tu akatoa simu 1 kali Sana ilikua inaita.. Ile anapokea ikaita nyingine kali kama Ile ile tena kuliko yangu.. Nikagairi hata kuchukua namba yake ya simu.
Nikaaga akasema vipi namba ya simu nikamwambia nitakukuta naenda hapo kununua vocha nitarudi.. Ki1 hadi home..
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo angekuwa na Nokia tochi ungerusha nyavu ukamate dagaa,Samaki wakubwa waachie wavuvi.
Sawa mkuuKwa hiyo angekuwa na Nokia tochi ungerusha nyavu ukamate dagaa,Samaki wakubwa waachie wavuvi.
you must be confident under difficult circumstances mkuu hasa kwa wanawakeOf the highest Caliber!