Wanawake Versis Wanaume

Wanawake Versis Wanaume

Daah nyie watu huwa mnaishi na sisi kwa machale mwee. Yani mtu hajasema kinachomsumbua basi ushaconclude anataka kukupiga kizinga, jamani khaaa
Almost inakuaga hivyo!, we unapiga simu kwa upole kabisa na sauti inabadilika eti ninashida na wewe leo naomba nikuone ni shida ya muhimu. mbwembwe zinakuwa nyingi "Kumbe unataka hela tu" hayo nmeyaona sana na mengme meng nmekutana nayo, hata jana nmepokea simu ya hivyo nikajibu juu kwa juu; akataharuki eti nimejuaje?!!! kwenu ni kawaida hiyo kitu
 
Almost inakuaga hivyo!, we unapiga simu kwa upole kabisa na sauti inabadilika eti ninashida na wewe leo naomba nikuone ni shida ya muhimu. mbwembwe zinakuwa nyingi "Kumbe unataka hela tu" hayo nmeyaona sana na mengme meng nmekutana nayo, hata jana nmepokea simu ya hivyo nikajibu juu kwa juu; akataharuki eti nimejuaje?!!! kwenu ni kawaida hiyo kitu
Teh basi tutabadilisha style ya kupiga vizinga ili msitusome mapema
 
Basi hizo ni anecdotes zako tu ambazo hazi apply kwa wanawake na wanaume wote.

#Drop the mic!#
you don't get it, do you? kwani nimesema wote? hivi mtu akisema wazungu wana akili kuliko waafrika anamaanisha kila mzungu ana akili kuliko mwafrica? naona kukuelewesha inakua ngumu sana
 
you don't get it, do you? kwani nimesema wote? hivi mtu akisema wazungu wana akili kuliko waafrika anamaanisha kila mzungu ana akili kuliko mwafrica? naona kukuelewesha inakua ngumu sana

Ukisema Wazungu wana akili kuliko Waafrika bila qualification [unajua hata qualification ni nini wewe] unakuwa umetoa blanket statement.

Sasa watu kama mimi lazima tutahoji mapungufu ya kauli yako.

Unajua blanket statement ni nini?

#Drop the mic#
 
Ukisema Wazungu wana akili kuliko Waafrika bila qualification [unajua hata qualification ni nini wewe] unakuwa umetoa blanket statement.

Sasa watu kama mimi lazima tutahoji mapungufu ya kauli yako.

Unajua blanket statement ni nini?

#Drop the mic#
blanket statent or whatever bullshit, vp umepata point yangu au hujapata? kama hujapata ngoja nikupe mfano mwingine nikisema wanafunzi wa kiume wanafanya vizuri darasani kuliko wa kike kwani nitakua namaanisha kila mwanafunzi wa kiume anafanya vizuri kuliko mwanafunzi wa kike?
 
blanket statent or whatever bullshit, vp umepata point yangu au hujapata?

First off, it is 'blanket statement' and not 'blanket statent'.

Second off, why are you foaming at the mouth? Is it because I'm cornering you?

Be easy.

kama hujapata ngoja nikupe mfano mwingine nikisema wanafunzi wa kiume wanafanya vizuri darasani kuliko wa kike kwani nitakua namaanisha kila mwanafunzi wa kiume anafanya vizuri kuliko mwanafunzi wa kike?

Ndiyo, ukisema hivyo bila kuweka qualification utakuwa unamaanisha hivyo, kwamba kila mwanafunzi wa kiume 'anafanya vizuri kuliko mwanafunzi wa kike'.

#Drop the mic#
 
Andiko..limenyambulishwa vizuri Sana...asante sana mkuu kwa chakula cha ubongo.
 
First off, it is 'blanket statement' and not 'blanket statent'.

Second off, why are you foaming at the mouth? Is it because I'm cornering you?

Be easy.



Ndiyo, ukisema hivyo bila kuweka qualification utakuwa unamaanisha hivyo, kwamba kila mwanafunzi wa kiume 'anafanya vizuri kuliko mwanafunzi wa kike'.

#Drop the mic#
hahaaa you are the expert on language, aren't you? no nitakua simaanishi hivyo, nitakua namaanisha kua wanafunzi wa kiume kwa wastani wanafanya vizuri zaidi, ila ukichukua mwanafunzi mmoja mmoja wa kiume na wa kike ukiwalinganisha, utapata kuna baadhi ya wanafunzi wa kike wanazidi pia wa kiume
 
hahaaa you are the expert on language, aren't you?

Nope, I am just lil' 'ol Ngabu.

no nitakua simaanishi hivyo, nitakua namaanisha kua wanafunzi wa kiume kwa wastani wanafanya vizuri zaidi, ila ukichukua mwanafunzi mmoja mmoja wa kiume na wa kike ukiwalinganisha, utapata kuna baadhi ya wanafunzi wa kike wanazidi pia wa kiume

Eewaaa, hapo sasa tupo ukurasa mmoja.

Hiyo 'kwa wastani' ndo qualification yenyewe hiyo.

We mwenyewe huoni kama hiyo sentensi iko tofauti na za awali?

Natumai baada ya hapa sasa utakuwa makini zaidi katika kauli zako.
 
WANAWAKE Vs WANAUME (FACTS)

1. Uwezo wa kufanya vitu vingi kwa wakati mmoja.

Ubongo wa wanawake umejengwa ktk msingi wa kuweza kufanya mambo mengi kwa wakati mmoja. Mwanamke anaweza akaangalia TV huku anaongea na simu, akapika huku anaongea na simu, anaweza akapika huku anachat na vinginevyo. Ubongo wa mwanaume umeumbwa kufanya jambo moja tu kwa wakati. Mwanaume hawezi akaongea na simu huku anaangalia TV. Anaweza akazima TV ili aongee na simu, hawezi kupika huku anaongea na simu kuna jambo mojawapo atalifanya kwa ufanisi na lingine atashindwa. Ndio maana wanaume wakiwa kijiwen wakipiga soga na ghafla akakatisha mwanamke mrembo, soga zao husitishwa kwa muda na akishapotea huenda wakasahau walikua wakizungumzia jambo gani!

2. Lugha

Ni rahisi sana kwa Mwanamke kujifunza na kujua lugha mbalimbali. Lakini hawawezi kutafuta ufumbuzi wa matatizo. Si rahisi sana kwa wanaume kujifunza lugha kwa urahisi, Lakini wanao uwezo mkubwa wa kutatua tatizo. Ndio maana kwa wastani mtoto msichana wa miaka mitatu anaweza akawa na misamiati mingi ya lugha anayoongea mara tatu zaidi ya mtoto mvulana wa Umri huo.

3. Maarifa ya utatuzi wa matatizo.

Ubongo wa mwanaume umeumbwa ukiwa na nafasi kubwa ya kufanya upembuzi na ufumbuzi wa matatizo magumu . Wanaweza wakarahisisha na kutafuta solution ya tatizo. Wanaweza wakachora ramani na kujenga kwa urahisi. Lakini kama ramani hiyo itasomwa na mwanamke hatapata ufumbuzi wowote. Wanawake hawawezi kusoma ramani, kwake ataona kama mistari mistari isiyo na faida imechorwa kwenye karatasi tu.

4. Uendeshaji wa gari

Mwanaume anapoendesha gari, sehemu ya kubwa ya ubongo wake hutulia kufanya analysis ya uendeshaji wake. Anaweza akaendesha gari kwa kasi. Na kama akiona kitu kwa mbali, ubongo wake unaweza uka classify aina ya hicho kitu aitha basi au lorry au gari ndogo pamoja na speed yake ili aweze kuendesha kulingana navyo. Lakini inachukua muda mrefu kwa mwanamke kugundua hvyo akiwa anaendesha gari. Mwanaume anaweza akazima radio ndani ya gari na ku concentrate kuendesha huku akiona kama radio inamfanya asiendeshe vizuri. Mwanamke haeezi kufanya hvyo.

5. Kudanganya

Mwanaume anapomdanganya mwanamke uso kwa uso ni rahisi kukamatwa na uongo wake. Super natural brain ya mwanamke inatambua facial expression kwa asilimia 70%, lugha ya mwili (body language) kwa asilimia
20% na maneno yatokayo mdomoni kwa asilimia 10%. Mwanaume hana hivyo vitu. Ni rahisi sana kwa mwanamke kumdanganya mwanaume na mwanaume akaamini huo uongo. Ni vigumu mwanaume asiamini. Ndio maana imekuwa rahisi sana kwa wanaume kutembea nje ya mahusiano wakajulikana, lakini mwanamke akianza kutembea nje ya mahusiano utahitaji kazi ya ziada kugundua. Hivyo basi wanaume msimdanganye mwanamke huku mkiwa uso kwa uso.

6. Utatuzi wa mambo tena.

Kama mwanaume anamatatizo mengi, ubongo wake hutulia na kuyapanga matatizo vizuri kwa ajili ya utatuzi moja baada ya jingine. Ndio maana unaweza ukamuona mwanaume ameinama kama anawaza au anaangalia juu. Hapo ubongo unafanya kazi ya utatuzi. Tofauti na mwanamke! Yeye akiwa na matatizo anahitaji nafasi ya kumwambia mtu tu basi. Akishamueleza mtu matatizo yake anaweza akaenda kulala kwa raha zake bila kujali atapata ufumbuzi au laa kwani atakua ameutua mzigo alionao. Hivyo basi wanaume wasikilizeni wanawake wanapowaeleza matatizo yao. Wala usihangaike kumshauri au kutafuta solution wewe msikilize tu mpaka amalize halaf mwache akapumzike.

7. Nini wanataka?

Katika maisha Wanaume wanahitaji ukubwa (status), mafanikio, solutions etc.. Lakini wanawake wanahitaji mahusiano, marafiki, familia etc..ndio maana usishangae kwanini wanawake wengi wanatamani ndoa. Lakini bahati mbaya wengi wakiingia ktk ndoa hukuta mambo tafauti na walivyokua wakifikira.

8. Emotions

Wanawake huongea sana bila kufikiri lakini wanaume wengi hutenda mambo mengi bila kufikiri.

Hizi ni baadhi ya tofauti zilizopo kati ya mwanaume na mwanamke.

Source: Why Men don't listen and Women can't read maps.
 
Back
Top Bottom