datz
JF-Expert Member
- Nov 17, 2015
- 856
- 975
kichwa kikubwa mkuu ichi kingine kikiinama ni whr iz papuchiInawaza ikawa ndio sababu. Ila kumbuka wanaume tuna vichwa viwili sijui wewe unazungumzia kipi teh teh (joking)
kichwa kikubwa mkuu ichi kingine kikiinama ni whr iz papuchiInawaza ikawa ndio sababu. Ila kumbuka wanaume tuna vichwa viwili sijui wewe unazungumzia kipi teh teh (joking)
Afu raha kweli, mtu anakudanganya wewe unamuenjoy tu anavyojikuta mjanjaNimependa namba5
Yani raha kama unaangalia movie vileAfu raha kweli, mtu anakudanganya wewe unamuenjoy tu anavyojikuta mjanja
Tena movie ya kifilipino lolYani raha kama unaangalia movie vile
Ha haaa mtu anajikoroga we una mchora tu. He hee hawa watu hawaTena movie ya kifilipino lol
Hahaga Afu na wewe unamuitikia vizuri tu, basi anakuona bonge la boya daahHa haaa mtu anajikoroga we una mchora tu. He hee hawa watu hawa
Tena boya sana,na hapo anashindana na dhamiri yake mana lazima tu atakua anajistukia stukia.Hahaga Afu na wewe unamuitikia vizuri tu, basi anakuona bonge la boya daah
Hahahaha umetisha sanaLooh kwa hiyo wanaume watano wenye PhD ni sawa na wanawake wote Africa
So what are you trying to say...
Mmmh....9.Wanawake ni wazito kwenye direction..Ukimwambia( kwa gafla) ageuke kulia anaweza kugeuka kushoto
"Versis"
Mmoja wao Ni Mimi hapa....wahapa hapa....Hao "wanaume" ulowaongelea hapo ni wa sayari gani?
Noted, and what about the rest..It's not what I'm trying to say.
It's what I'm saying.
Look at number 5, for instance.
Lying is no respecter of sex.
Anybody can be caught lying and anybody can get away with it.
No gender has an edge when it comes to it.
There are many gullible souls in both sexes.
So the idea that women are better liars or that men don't know how to lie is a falsehood.
Mhhh hapo kwenye kudanganya naona kuna walakin maana wadada wa siku izi bila ya kumdanganya itakuchukua mda kumpata ili umpate kirahisi lazma useme uongo na ni wepesi kuukubali uongo kuliko ukweli.