Wanawake Versis Wanaume

Wanawake Versis Wanaume

Jamani mpenzi unifiche wewe alafu uniulize hilo swali?
Yani unataka kusema mi ni msahaulifu kiasi hicho..Yani naweza kuficha kitu na nikasahau kilipo?...Nyosha maelezo bana
 
I guess nina tatizo hili, me ni msiri mnoo. Siwezagi kusema matatizo yangu (unless naumwa labda), most of times yakinikaba naliaaa + ntaandika jinsi navyojisikia (nina note books nyingii). Nikimaliza hapo huyooo Nashukuru then nasmile kutoka rohoni, Nipo hivyo
Duuh!!! haya bana..Hiyo tabia uiache ukiingia ndoani..Daddy itabidi akufunde kabla ya ndoa teh
 
Duuh!!! haya bana..Hiyo tabia uiache ukiingia ndoani..Daddy itabidi akufunde kabla ya ndoa teh
Hahaha kwa nini daddy, imekuwa ikinisaidia sana tangu nipate akili. Otherwise sijui ningekuwaje
 
9) Mwanamke ni msiri sana na anaweza kufa na siri yake. Mfano akiwa na mtoto wa nje anaweza kupiga kimya mpk siku yake ya mwisho hapa duniani ila Mwanaume hawezi,ipo siku atasema tu.
 
Hahaha kwa nini daddy, imekuwa ikinisaidia sana tangu nipate akili. Otherwise sijui ningekuwaje
Teh teh..Usiri mwingi ndoani unamfanya husband awe na doubts nyingi..Na mwingine ataona hauthamini uwepo wake au haumwamini.
 
Teh teh..Usiri mwingi ndoani unamfanya husband awe na doubts nyingi..Na mwingine ataona hauthamini uwepo wake au haumwamini.
Noop daddy kama ni issue ya kuongea si naongea tu. Me naongelea mabalaa yangu nayokutana nayo sasa hivi, napendaga kusolve issue zangu mwenyewe zaidi ili nisije kuwa na regrets baadaye coz nimeamua mwenyewe kufanya kitu fulani kwa utashi wangu
 
It's not what I'm trying to say.

It's what I'm saying.

Look at number 5, for instance.

Lying is no respecter of sex.

Anybody can be caught lying and anybody can get away with it.

No gender has an edge when it comes to it.

There are many gullible souls in both sexes.

So the idea that women are better liars or that men don't know how to lie is a falsehood.
wewe hujaelewa yeye hapa hazungumzi kila mwanamke yoyote atakua anaweza kudanganya kumzidi mwanaume yoyote, au wanawake wakidanganya huwa hawajulikani, no... yeye anamaanisha kwa average wanawake wanaweza kudanganya kuliko wanaume
 
Noop daddy kama ni issue ya kuongea si naongea tu. Me naongelea mabalaa yangu nayokutana nayo sasa hivi, napendaga kusolve issue zangu mwenyewe zaidi ili nisije kuwa na regrets baadaye coz nimeamua mwenyewe kufanya kitu fulani kwa utashi wangu
wewe ni kama mimi dada, dah sometimes unakuta nina mzigo wa dunia yote kichwani ila sikimbilii kumwambia mtu, na solve (saa nyingine kwa kutumia njia za ajabu na za hatari) na ambo yanaisha tangia.... tangia nikiwa mdogo life langu lipo based on secrecy and self- reliance, huwezi amini mimi mtu mzima sasa hivi ila sijawahi kabisa kukopa hela maishani
 
wewe hujaelewa yeye hapa hazungumzi kila mwanamke yoyote atakua anaweza kudanganya kumzidi mwanaume yoyote, au wanawake wakidanganya huwa hawajulikani, no... yeye anamaanisha kwa average wanawake wanaweza kudanganya kuliko wanaume

Hiyo average imepatikanaje?

Ni ya kukisia au...?
 
Hiyo average imepatikanaje?

Ni ya kukisia au...?
mojawapo kati ya njia za kufanya research ni observation, ukifanya observation kwa muda unaotosha unapata majibu correct kabisa ya research..
jaribu hata ku Google utajua
 
mojawapo kati ya njia za kufanya research ni observation, ukifanya observation kwa muda unaotosha unapata majibu correct kabisa ya research..
jaribu hata ku Google utajua

Na unaweza pia usipate majibu sahihi vilevile.

Ndo maana kufanya hivyo si njia pekee ya kufanya utafiti.
 
Back
Top Bottom