Wanawake Versis Wanaume

Wanawake Versis Wanaume

Duh!yaani kirahisi rahisi anakwambia mwaka huu nataka uninunulie vitz anakuwa ameisha utua mzigo!
 
9.Wanawake ni wazito kwenye direction..Ukimwambia( kwa gafla) ageuke kulia anaweza kugeuka kushoto
 
Duh!yaani kirahisi rahisi anakwambia mwaka huu nataka uninunulie vitz anakuwa ameisha utua mzigo!
Na jinsi unavyomkubali, mbona utakua tayari haya kukopa pesa umnunulie yeye ame relax tu!
 
15. Wanawake pia ni wepesi sana kugundua una pesa kiasi gani

yaan mwanaume ukitoa pochi tu mfukoni mwanamke akaiona anaweza kugundua pochi ina shillingi ngapi na hawakosei
 
Teh teh..Haya matatizo yako uwa unamweleza nani..Mbona mi siambiwi?
I guess nina tatizo hili, me ni msiri mnoo. Siwezagi kusema matatizo yangu (unless naumwa labda), most of times yakinikaba naliaaa + ntaandika jinsi navyojisikia (nina note books nyingii). Nikimaliza hapo huyooo Nashukuru then nasmile kutoka rohoni, Nipo hivyo
 
Mwanamume mmoja mwenye elimu ya kidato cha nne ni sawa na wanawake mia wenye phd.....

Mvulana mmoja mwenye elimu ya msingi ni sawa na wanawake mia wenye degree....

Mwanaume mmoja asiyekuwa na hata elimu ya msingi ni sawa na wanawake mia wenye elimu ya kidato cha nne.....

Looh kwa hiyo wanaume watano wenye PhD ni sawa na wanawake wote Africa
 
Back
Top Bottom