Mumwi
JF-Expert Member
- Jan 9, 2011
- 592
- 122
To me hayo yalikuwa maandalizi ya kumbaka!
Uyu dada afungue kesi tuu na ushaidi anao!
Hao Polisi wanajulikana maana picha zinaonyesha ni akin nani ila kwa sababu wametumwa kufanya hiyo kazi sidhani Kama watachukuliwa hatua yeyote huu unyanyasaji ndiyo ambao unalalamikiwa sana siku hizi.
Hii post nilishangaa sana jana usiku ilipelekwa kwenye jamii photo ilionekana Kama haina umhimu.