Zimmermann
JF-Expert Member
- Sep 28, 2010
- 2,790
- 1,232
Hii ni nchi ya maajabu......yaani polisi wote hao wanakomaa na mwanafunzi mmoja wa kike asiyekuwa na silaha yeyote wakati wale twiga wetu walikuwa wanapandishwa kiulaiiiini ndani ya dege la Qatar lakini hakukuwa na mwanausalama wa taifa hata mmoja.
Hao mbwa(polisi) ipo siku yao!
Hao mbwa(polisi) ipo siku yao!