Ujumbe kutoka kwa mange kimambi

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Mar 10, 2022
17,796
32,148
“Hey guys, Good News, Noel @noelgiotz na Kevin Events wameachiwa na wako huru sasa…. Na wengineo waliokuwa wanashikiliwa pia wameachiwa.
.
Watanzania ambao mnapinga ushoga ila mnataka zichukulie njia sahihi za kudili nna ushoga na sio kuwafanyia unyama hawa watanzania wenzetu basi tuendelee kupambana…
.
Ukisikia huko kijana yoyote kakamatwa na kufanyiwa unyama na polisi, tafadhali naomba unileteee jina lake kamili, picha na maelezo yote ya kesi yake niposti humu ili dunia ijue haki za binadamu zinavyokiukwa Tanzania sababu ya mihemko ya kisiasa.
.
Tupambane na chanzo cha tatizo na sio matokeo ya tatizo… Hawa vijana tumewazaaa wenyewe sisi wanawake kwanini tulishindwa kuwalinda ? Walifanyiwa unyama wakiwa watoto na leo sisi mama zao tunashadadia wafanyiwe tena unyama na serikali yetu. Hapana hii sio njia sahihi.
.
Serikali inawachukua vijana inaenda kuwabaka kwa vidole kwenye hospitali ya Taifa ya Muhimbili kwa madai ya kuwapima? Hiyo ni sexual assault, huo ni udhalilishaji, huo ni ukiukwaji wa haki za binadamu. Hivi unampanuaje binadamu mwenzio makalio kinguvu na kumwingizia vidole then udai unampima?? Kuna todauti gani kati ya mjomba aliemfanyia unyama huu akiwa mtoto na serikali inayomfanyia unyama huu ukubwani?? Hii haikubalikiiiiiii.
.
Dr. Janabi kweli unakubaliana na hili la madaktari wako hapo Muhimbili kuingizia vijana vidole kinguvu kwa madai ya kuwapima? Dr. Janabi wewe umesoma nje unazijua haki za binadamu, inakuwaje unaruhu hospitali unayoiongoza ifanyie watu unyama huu? Then next week utakuwa nchi za Magharibi huko unajiongelesha kwenye mikutano na wakati huku Africa unawabaka vijana wa kiTanzania kinguvu kwa madai ya kwamba unawapima kama ni mashoga. Next time ukienda kuomba Visa ujieleze kuwa unaongoza hospitali inayowaingilia vijana wa kitanzania kinguvu kwa vidole ili uisaidie polisi ku prove ni mashoga. Unachokifanya ni unyama na ukiukwaji wa haki za binadamu”

NB: nimenukuu
 
Wangehojiwa vizuri lazima wangetaja waliowaharibu toka wakiwa na umri mdogo...pamoja na wanaowaingilia kimwili hivi sasa, alafu hao watu wangekamatwa na wao wasukumwe miaka 30! Kwa ufirauni walioufanya na wanaoendelea kuufanya
 
“Hey guys, Good News, Noel @noelgiotz na Kevin Events wameachiwa na wako huru sasa…. Na wengineo waliokuwa wanashikiliwa pia wameachiwa.
.
Watanzania ambao mnapinga ushoga ila mnataka zichukulie njia sahihi za kudili nna ushoga na sio kuwafanyia unyama hawa watanzania wenzetu basi tuendelee kupambana…
.
Ukisikia huko kijana yoyote kakamatwa na kufanyiwa unyama na polisi, tafadhali naomba unileteee jina lake kamili, picha na maelezo yote ya kesi yake niposti humu ili dunia ijue haki za binadamu zinavyokiukwa Tanzania sababu ya mihemko ya kisiasa.
.
Tupambane na chanzo cha tatizo na sio matokeo ya tatizo… Hawa vijana tumewazaaa wenyewe sisi wanawake kwanini tulishindwa kuwalinda ? Walifanyiwa unyama wakiwa watoto na leo sisi mama zao tunashadadia wafanyiwe tena unyama na serikali yetu. Hapana hii sio njia sahihi.
.
Serikali inawachukua vijana inaenda kuwabaka kwa vidole kwenye hospitali ya Taifa ya Muhimbili kwa madai ya kuwapima? Hiyo ni sexual assault, huo ni udhalilishaji, huo ni ukiukwaji wa haki za binadamu. Hivi unampanuaje binadamu mwenzio makalio kinguvu na kumwingizia vidole then udai unampima?? Kuna todauti gani kati ya mjomba aliemfanyia unyama huu akiwa mtoto na serikali inayomfanyia unyama huu ukubwani?? Hii haikubalikiiiiiii.
.
Dr. Janabi kweli unakubaliana na hili la madaktari wako hapo Muhimbili kuingizia vijana vidole kinguvu kwa madai ya kuwapima? Dr. Janabi wewe umesoma nje unazijua haki za binadamu, inakuwaje unaruhu hospitali unayoiongoza ifanyie watu unyama huu? Then next week utakuwa nchi za Magharibi huko unajiongelesha kwenye mikutano na wakati huku Africa unawabaka vijana wa kiTanzania kinguvu kwa madai ya kwamba unawapima kama ni mashoga. Next time ukienda kuomba Visa ujieleze kuwa unaongoza hospitali inayowaingilia vijana wa kitanzania kinguvu kwa vidole ili uisaidie polisi ku prove ni mashoga. Unachokifanya ni unyama na ukiukwaji wa haki za binadamu”

NB: nimenukuu
Mkuu,
Samahani!
Unakusudia nini mpaka kuleta unayoyaita umenukuu?
 
Back
Top Bottom