kabisaEither 30 umechakaa au hujachakaa... Kilichopo kwenye ubongo wa mwanaume ni kwamba ushatumika sana, na wengi wenu ukifka umri uo ni ngumu kukataa na uko tayari kugegedwa ili atleast upate mtoto, sasa hapo labda upate mwanaume ambaye anae ongeza mke au aliye talakiana au na yeye ana watoto tayari
Ukitaka kujua nguvu ya wanawake hata kama tupo wengi angalia mada zinazo letwa humu kila dakika wanaume wanaleta mada kulalamika humu na kutafuta wachumba.tatizo takwimu ndio inazidi kuwabana nyie wanawake[emoji41][emoji41][emoji41]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani ni vibaya wakifa nao?Waache kukutaa ovyo! Watakufa na utamu wao
Uchakavu huo katika lipiKubali au kataa mwanaume ata akisema wiki ijayo ntaoa, mrad amedhamiria anaoa kweli... Lakini mwanamke kuolewa sio maamuzi yako mwenyewe na huwez lazimisha kuolewa! Kwanza mwanamke akifika 30 tayari amechakaa,
Wanawake wako wengi ukiona mwanaume anatafuta humu ujue anataka kugegeda tu!
Angalia tena takwimu zako sio sahihi kwa idadi ya watu saizi,uwiano wa mwanaume na mwanamke unakadiliwa kuwa 1:1*INASEMEKANA:*
_*Idadi ya watu inafikia bilioni 7.8 dunia nzima.*_
*Wanawake ni bilioni 5.6 Wanaume ni bilioni 2.2.*
_*Hapo utaona busara inamtaka kila mwanamke kujitafakari kabla ya kumkataa mwanaume, au kukataa ndoa ya uke wenza.*_
*Zingatia kwamba, kati ya hao wanaume bilioni 2.2:*
1. _*Bilioni 1 tayari wamekwishaoa.*_
2. _*Milioni 200 wako jela na wenye matatizo ya akili.*_
*Wanabaki wanaume bilioni 1 tu [emoji23] .*
3. _*Milioni 500 hawana kazi.*_
4. _*Kumbuka asilimia tano (5%) wamo kwenye ndoa za jinsia moja.*_
5. _*Asilimia tatu (3%) ni mapadri wa Katoliki. Hawaoi.*_
6. _*Asilimia kumi (10%) ni ndugu wa damu. Hawawezi kukuoa.*_
7. _*Asilimia ndogo inayobaki ni wazee kuanzia miaka 80.*_
*Naongezea hapo hatujawatoa wenye upungufu wa nguvu za kiume.*
Sent using Jamii Forums mobile app
Patnership ni kujipa moyo tu! ila kwenye jamii ndoa ni muhimu tena muhimu sana hasa kwa mwanamke, Elimu na mali havina heshima kuliko ndoa, kwenye jamii ya kiafrika hasa kwa mwanamkeDo your research well.
Kama mwanamke ni wa shule sana unakuta anafika 30 ndio ana miaka miwili kazini. Na mwingine ana plans zake kabla ya kuingia kny ndoa.
Halafu wengine wana prefer partnership kuliko commitment kubwa ya ndoa.
Akikujibu ni tag
bado upo usingizini, uliza swali hlo google watakujibu mkuruAngalia tena takwimu zako sio sahihi kwa idadi ya watu saizi,uwiano wa mwanaume na mwanamke unakadiliwa kuwa 1:1
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu kama wew huwa mnaongea njiani kama wehu sababu kuvumilia mateso ya ndani ya ndoaPatnership ni kujipa moyo tu! ila kwenye jamii ndoa ni muhimu tena muhimu sana hasa kwa mwanamke, Elimu na mali havina heshima kuliko ndoa, kwenye jamii ya kiafrika hasa kwa mwanamke
kwenye hiyo Link ya Population Clock teremka chini jana hiyo nafasi kwa Nchi ya TanzaniaKumbe wanaume ni wengi kuliko wanawake [emoji1][emoji1]
Tanzania Population clock (live)
59,982,299
Current population
29,970,742
Current male population (50.0%)
30,011,557
Current female population (50.0%)
463,163
Births this year
Uchakavu wa ki maumbile, mwili unaanza kufifia, pia heshima yako kama mwanamke haipo... Unaonekana muhuni tu! Kumbuka mwanamke anae heshimika ni MAMA au MWENYE BIKRA na MKE WA MTU
Hahaha sasa unatusaidiaje??Ila nyie kwa kuchagua mmezidi aiseeHakuna mchaguzi kama mwanaume [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mara nataka wowowo, mara mweupe, mara mweusi, mara miguu ya bia. Heeee
Wewe upo tayali mwanamke mmoja awaowe ninyi wanaume 4, na akidhi hayo mahitaji yenu?? wewe upo tayali geuza upande wa shlng,Huu Uzi wakiupitia wanapata hasira Sana.
Lakini all in all wivu tu na ubinafsi ndio unawaongoza.
Kama mwanaume anaweza kuwahudumia wote, shida iko wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mateso yapo kila mahali hata nje ya ndoa cha muhimu ni kuyakabili na kutafutia ufumbuziMtu kama wew huwa mnaongea njiani kama wehu sababu kuvumilia mateso ya ndani ya ndoa
Wapo baadhi ya wanawake wapo kwenye ndoa na hawana heshima kwa jamiiUchakavu wa ki maumbile, mwili unaanza kufifia, pia heshima yako kama mwanamke haipo... Unaonekana muhuni tu! Kumbuka mwanamke anae heshimika ni MAMA au MWENYE BIKRA na MKE WA MTU
OVA
Nimekwambia ndani ya ndoa we si Umeandika huko Kuna neema na utulivu jumlisha heshimaMateso yapo kila mahali hata nje ya ndoa cha muhimu ni kuyakabili na kutafutia ufumbuzi
Kwaiyo wewe unashauri watu wasiingie kwenye ndoa au?Nimekwambia ndani ya ndoa we si Umeandika huko Kuna neema na utulivu jumlisha heshima
Sasa Mungu alivyo wa ajabu hiko kipindi ndio anakosa mtu sasaSasa ngoja nkupe siri, hayo ni matamanio tu... ikifika kipindi cha kuoa anaangalia mwanamke ambaye hatamsumbua, makalio,weupe hizo ni nyongeza
Sasa mwanamke anajioa? Heshima ni kwa wote mwanaume na mwanamke.Patnership ni kujipa moyo tu! ila kwenye jamii ndoa ni muhimu tena muhimu sana hasa kwa mwanamke, Elimu na mali havina heshima kuliko ndoa, kwenye jamii ya kiafrika hasa kwa mwanamke