Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 11,250
- 24,085
Kama mnavyojua wanawake wanapenda sana kusikilizwa yaani hata kama anaongea pumba wewe jifanye tu unamsikiliza na ukiweza ongezea kidogo kwenye story yake ili ajue mpo sambamba.
Sasa jana moja ya kitu kilichonichekesha sana jana nilipotega sikio kwa wife na kuwa active akinipa story za hapa na pale na zingine nikweli nilikuwa na zijua sema sisi wanaume huwa hatuna mambo kama hayo kuyaongea kwa wake zetu.
Story zilinoga hatimae zikaangukia kwa mama wa makamo fulani almost miaka40 hivi
Huyu mama ni mwenyekiti wa WAWATA PAROKIANI KWETU hivyo anaheshima sana na anaheshimika ni mtu wa dini.
Mme wake ni mtu wa utelezi na pombe mara moja moja huwa tunakutana tunazibua vyupa na kupiga story kadhaa.
Huyu mama ana rafiki yake wa kike ni kibonge kiaina na mara zote alikuwa anakuja kwa mama huyu mtu wa dini watapiga story wee kisha ataenda zake kwa kusindikizana.
Huyu kibonge bana kumbe kashapitiwa na mme wa rafiki (mama wa dini) na baada ya kuliwa ikawa siri kama siri zingine na urafiki ukaendelea kama kawaida maana mama wa dini hakujua.
Huyu bonge alikuja kuleta umbea baada kuona mme wa mama wa dini ametembea na jirani yake bonge ikamuuma sana.
Hivyo kesho yake akenda kumuhabarisha mama wa dini alichokishuhudia.....
Pasipo kuuliza usalama kwanza huyu bonge akaanza kuropoka akiwambia rafiki yake alichoona na mbaya zaidi akasema jirani yule ni mwathirika wa HIV.
Kumbe jamaa alikuwemo ndani bana kalewa amejifanya kalala fofofo chibonge alianza kusimulia mara paaap jamaa huyu hapa.
Jamaa akamwambia chibonge wewe nilikuacha kwa sababu uchi wako una nuka tena mke wangu huyu rafiki yako alinianza mwenyewe na nimeenda nae mara1 tu nikamuacha anauchi unanuka na ana maji mengi wala sio mtamu.
Wife anasema ile kesi ikawa ngumu ni sawa na maji kulowana. Sasa mama wa dini ikabidi dini aiweke pembeni kwanza wakaanza kutukakanana na huyu rafiki yake kibonge ....kesi ikaenda hadi kwa Baba paroko bana.
Ukumbuke huyu chibonge nae ni mke wa mtu na familia zote mbili zinafahamiana...
Hadi sasa chibonge na mme wake hawaishi pamoja maana mme wa mama wa Dini alicheza kama Pele!!
Akasambaratisha urafiki wa kinafiki na kumuanika yule Malaya hadharani na mme wake kusikia mke wake ana uchi mchafu unanuka akaona kadhalilishwa mara 100 nae akachomoa betery.
Kifupi maji yalilowana vibaya mnoo.
Huwa nikimpa muda wa kumsikiliza wife aongee huwa napata habari nyingi sana za kijamii na mara zote huwa ni kweli.
Sasa jana moja ya kitu kilichonichekesha sana jana nilipotega sikio kwa wife na kuwa active akinipa story za hapa na pale na zingine nikweli nilikuwa na zijua sema sisi wanaume huwa hatuna mambo kama hayo kuyaongea kwa wake zetu.
Story zilinoga hatimae zikaangukia kwa mama wa makamo fulani almost miaka40 hivi
Huyu mama ni mwenyekiti wa WAWATA PAROKIANI KWETU hivyo anaheshima sana na anaheshimika ni mtu wa dini.
Mme wake ni mtu wa utelezi na pombe mara moja moja huwa tunakutana tunazibua vyupa na kupiga story kadhaa.
Huyu mama ana rafiki yake wa kike ni kibonge kiaina na mara zote alikuwa anakuja kwa mama huyu mtu wa dini watapiga story wee kisha ataenda zake kwa kusindikizana.
Huyu kibonge bana kumbe kashapitiwa na mme wa rafiki (mama wa dini) na baada ya kuliwa ikawa siri kama siri zingine na urafiki ukaendelea kama kawaida maana mama wa dini hakujua.
Huyu bonge alikuja kuleta umbea baada kuona mme wa mama wa dini ametembea na jirani yake bonge ikamuuma sana.
Hivyo kesho yake akenda kumuhabarisha mama wa dini alichokishuhudia.....
Pasipo kuuliza usalama kwanza huyu bonge akaanza kuropoka akiwambia rafiki yake alichoona na mbaya zaidi akasema jirani yule ni mwathirika wa HIV.
Kumbe jamaa alikuwemo ndani bana kalewa amejifanya kalala fofofo chibonge alianza kusimulia mara paaap jamaa huyu hapa.
Jamaa akamwambia chibonge wewe nilikuacha kwa sababu uchi wako una nuka tena mke wangu huyu rafiki yako alinianza mwenyewe na nimeenda nae mara1 tu nikamuacha anauchi unanuka na ana maji mengi wala sio mtamu.
Wife anasema ile kesi ikawa ngumu ni sawa na maji kulowana. Sasa mama wa dini ikabidi dini aiweke pembeni kwanza wakaanza kutukakanana na huyu rafiki yake kibonge ....kesi ikaenda hadi kwa Baba paroko bana.
Ukumbuke huyu chibonge nae ni mke wa mtu na familia zote mbili zinafahamiana...
Hadi sasa chibonge na mme wake hawaishi pamoja maana mme wa mama wa Dini alicheza kama Pele!!
Akasambaratisha urafiki wa kinafiki na kumuanika yule Malaya hadharani na mme wake kusikia mke wake ana uchi mchafu unanuka akaona kadhalilishwa mara 100 nae akachomoa betery.
Kifupi maji yalilowana vibaya mnoo.
Huwa nikimpa muda wa kumsikiliza wife aongee huwa napata habari nyingi sana za kijamii na mara zote huwa ni kweli.