Ni changamoto, huwa nashusha zote, navaa navua . huku nachungulia saa muda unakimbia.aki hatuchekani
Kwa kweli nitashukuru.acha nikuweke ktk maombi
Umechukulia mambo kijumla jumla sana kwahapa umelizungumzia tabaka dogo sana la wanawake wanaoishi maisha fulani ya kumiliki jiko,choo,dressing table nk. vipi kuhusu wengineo wanaoshi nje ya maisha hayo? Thread yako haina uhalisia kwa maisha ya kawaida ya watanzania waliowengi.
Ni kweli ila nadhani kila mtu anajipima kwa kile kinachomhusu, kama huna dressing table una kabati, huna kabati walau una kitanda na sufuriaUmechukulia mambo kijumla jumla sana kwahapa umelizungumzia tabaka dogo sana la wanawake wanaoishi maisha fulani ya kumiliki jiko,choo,dressing table nk. vipi kuhusu wengineo wanaoshi nje ya maisha hayo? Thread yako haina uhalisia kwa maisha ya kawaida ya watanzania waliowengi.
kweli kbsa nilisahau hilo,ndoo za bafuni kugina plus vile vikombe vya kujimwagia navyo hali si haliNi kweli tu. Ila ninachochukia zaidi hapo ni soap dish na ndoo ya chooni kugina. Asee nikija kwako hata Kama nimebanwa na mkojo vipi. Ninaweza kuomba nisafishe ndoo kwanza. Ndio niende wash room.
Umeongea ya kweli tu.
Na kuondoka kwangu sijatandika kitanda.
Yesu. Sijui niwe ngojwa nawahiswa hospital ndo nishindwe
Mno yaanikweli kbsa nilisahau hilo,ndoo za bafuni kugina plus vile vikombe vya kujimwagia navyo hali si hali
Hapo kabatini usiombe tight au bra ipotee na ndo wataka kuvaa utoke tehNamba 1 na namba 2 ndiyo uchafu wangu.
Sawa nitabadilika.
Eeh tena ukute ndiyo ile ambayo inaendana na nguo unayoivaa. Lazima zishushwe zote chini.Hapo kabatini usiombe tight au bra ipotee na ndo wataka kuvaa utoke teh