Wanawake, ukitaka kujijua wewe ni mchafu, jiangalie hizi tabia unazo

Ni kweli tu. Ila ninachochukia zaidi hapo ni soap dish na ndoo ya chooni kugina. Asee nikija kwako hata Kama nimebanwa na mkojo vipi. Ninaweza kuomba nisafishe ndoo kwanza. Ndio niende wash room.
Umeongea ya kweli tu.



Na kuondoka kwangu sijatandika kitanda.
Yesu. Sijui niwe ngojwa nawahiswa hospital ndo nishindwe
 
aki hatuchekani
Ni changamoto, huwa nashusha zote, navaa navua . huku nachungulia saa muda unakimbia.
Nikipata inayoni fit zilizobaki nazibeba kama furushi la mtumba nizifungia kabatini.
Naenda kwenye dressing table naji spray, kama vile nakimbizwa nairusha hapo inadondosha na vitu vingine
 
Amegusa angle chache ila ukweli kashasema
 
Ni kweli ila nadhani kila mtu anajipima kwa kile kinachomhusu, kama huna dressing table una kabati, huna kabati walau una kitanda na sufuria
 
Vyote ni UCHAFU ila mkuu no 12 kununua still waya ni lazima amna mahali zinagawa bure chief.
 
kweli kbsa nilisahau hilo,ndoo za bafuni kugina plus vile vikombe vya kujimwagia navyo hali si hali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…