Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baharia hatuoni hivyo vitu ,huwa tunapenda tuNamba 1 na namba 2 ndiyo uchafu wangu.
Sawa nitabadilika.
hatariHayo ni mazingira yanayo wazunguka na kuyaishi... twende kwa wao wenyewe sasa:
1. Unakuta mtoto wa kike ananuka kwapa utafikiri gongo ya keko machungwa huo ni uchafu.
2. mtoto wa kike unanuka mdomo kama choo cha stand, jino njano kama kiini cha yai la kuku wa kienyeji, huo ni uchafu pia.
3. Mtoto wa kike unanuka papuchi kama paka panya aliyekufa na kuoza halafu papuchi umefuga haflo nayo Mav....yanatema kinyama utasema dampo ipo karibu huo ni uchafu.
4. Mtoto wa kike umefuga minywele kwa pani mpaka imebadilika na kuwa na rangi ya hudhurungi mtu asipoangalia vizuri atafikiri umeficha kitoto cha kuku kwapani, huo pia ni uchafu.