Melanny
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 1,247
- 2,204
Ni kweli tu. Ila ninachochukia zaidi hapo ni soap dish na ndoo ya chooni kugina. Asee nikija kwako hata Kama nimebanwa na mkojo vipi. Ninaweza kuomba nisafishe ndoo kwanza. Ndio niende wash room.
Umeongea ya kweli tu.
Na kuondoka kwangu sijatandika kitanda.
Yesu. Sijui niwe ngojwa nawahiswa hospital ndo nishindwe
Umeongea ya kweli tu.
Na kuondoka kwangu sijatandika kitanda.
Yesu. Sijui niwe ngojwa nawahiswa hospital ndo nishindwe