Wanawake tuongeze kujiheshimu...

Wanawake tuongeze kujiheshimu...

Hivi mtoa mada mashavu kuachana na kunymbulika inatokana na kufanya ngono sana au maumbile? Jibu lako litanisaidia sana maana kuna kamchepuko kangu kana mashavu yameachama kama utumbo wa ng'ombe
Ni maumbile tuu ni kama maziwa

121.
 
Waambie maana mtoa mada anawachana wanampinga bora uje tumsaidie mtoa Mada,

Binti unatumika sana umekuwa sex machine?
Kila mtu ana uhuru wa kuchagua lifestyle anayotaka kuishi. Ila ukweli ndo huo mwanaume anaendeshwa na matamanio hivyo matamanio yanaisha baada ya sex. Hapo ndo wengi wanalalamika mbona hapigi simu kama mwanzo sijui attention imepungua kumbe mwanaume yeye matamanio keshapata alichokitaka.

Sent From Galaxy S20 Ultra
 
Ni maumbile tuu ni kama maziwa

121.
Mbona umechelewa kutoa jibu mwenzio nimeshaharibu nimemtumia meseji atoe maelezo kwa nini mashavu yake yamenyambuka na nimesema nina ushahidi watu wanamchakata ovyo na inaonekana iko seen kwenye whatssapp na kwa sasa Zaidi ya dk 5 inasema "typing"
 
Kwenye hii thread umetaja jina langu lakin sijawai kunyonywa huo unaouita uboho nmejiskia vibaya sana maana umenisingizia

Sent using Gun Trigger
 
Mbona umechelewa kutoa jibu mwenzio nimeshaharibu nimemtumia meseji atoe maelezo kwa nini mashavu yake yamenyambuka na nimesema nina ushahidi watu wanamchakata ovyo na inaonekana iko seen kwenye whatssapp na kwa sasa Zaidi ya dk 5 inasema "typing"
Mrejesho muhimu sn after typing...end

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila mtu ana uhuru wa kuchagua lifestyle anayotaka kuishi. Ila ukweli ndo huo mwanaume anaendeshwa na matamanio hivyo matamanio yanaisha baada ya sex. Hapo ndo wengi wanalalamika mbona hapigi simu kama mwanzo sijui attention imepungua kumbe mwanaume yeye matamanio keshapata alichokitaka.

Sent From Galaxy S20 Ultra
Na ikumbukwe kuwa kila unalafanua lina matokeoa yake,sasa binti itumike sana sifa ya kuitwa sehemu za siri huwa inatoka zpinakiwa tena sio sehemu za siri na Mwanamke utumike sana unadhani utakuwa salama kwa Adya Ndoa? Sio kweli lazima kasoro zitakuwepo na wengine wakufa kwa HIV/AIDS na madhara mengi tu sasa mtoa mada ndo anachowashauri wenzake. Kima madhara mengi haya umaskini unasababishwa na hayo maijinga.


pujo
 
Umeona eeh? Kila akianzisha uzi anaanzisha uzi wa mlengo huu. Hapa anataka kupima watu wanachukuliaje hiyo hali aliyonayo. Ila asijali tunamchukulia kawaida tu kama mwanamke mwenzetu

Sent using Jamii Forums mobile app

halafu jirani rudisha ile avatar yako basi...nimekuzoeya kwa muonekano ule....unanipa shida kuanza mazoeya upaya ni hii avatar
 
Ila mtamu sana huyo demu. labda walimuharibu huko nyuma. Yale mashavu kumbe yanaakisi uchakatwaji wa watu tofauti tofauti? nilikuwa sijui kabisa. Yaani ningekuwa na picha yake ningekutumia hata wewe ungeshtuka
Nimebaki nacheka kwa sauti itume tu pm
 
Back
Top Bottom