Ma Mshuza
JF-Expert Member
- Feb 26, 2019
- 251
- 1,256
Hata kama ni mali yako, kiungo chako si sababu mtu kakufahamu siku mbili tatu anaomba mfanye mapenzi unampa na mauno yote bila hata woga unadhani hiyo itakuongezea credit?
Wanaume wenye akili washagundua kuwa sisi wanawake wengine ni minungayembe, Wanagonga akikuzalisha anakimbia. We jiachie tu akunanii vizuri.
Mimi nasema haya sababu nimeshangazwa na mtu mmoja ofisini analaumu wanaume bure tu kwa upumbavu wake. Kapewa lift mara mbili ndani ya week kaachia miguu jamaaa hakufanya ajizi. Kamchapa nao na kumbe siku hiyo hiyo na mimba ikabaki ndani
Miezi mitatu anakuja kulalamika wanaume wabaya, hivi hata huyo mwanaume si atakuwa na wasiwasi na hiyo mimba? Unadhani mwanaume mwenye akili ukiwahi mpa penzi atafikiria yeye ndo ana bahati sana kwako? Ushawapa wangapi?
Kha! Wenzangu tuache kuwatafutia lawama wakaka wa watu, ndo maana miaka hii kila kona single mothers, sisi enzi zetu haikuwa hivyo. Bi dada unamwagwa leo keshokutwa upo na Abdallah. Akikutosa unamkamata John, naye akikubwaga unahamia kwa Hamisi, hiyo K au mpira watu wanapasiana?
Halafu kutwa kucha madawa ili zibane, zibane nini sasa wakati mashavu yoote yameachama na kutawanyika sababu ya misukosuko? Tuacheni kulaumu wanaume tujitunze na tutunze mashine zetu wanawake.
Mimi nishasema kama mtachukia sijali wala nini.
Wanaume wenye akili washagundua kuwa sisi wanawake wengine ni minungayembe, Wanagonga akikuzalisha anakimbia. We jiachie tu akunanii vizuri.
Mimi nasema haya sababu nimeshangazwa na mtu mmoja ofisini analaumu wanaume bure tu kwa upumbavu wake. Kapewa lift mara mbili ndani ya week kaachia miguu jamaaa hakufanya ajizi. Kamchapa nao na kumbe siku hiyo hiyo na mimba ikabaki ndani
Miezi mitatu anakuja kulalamika wanaume wabaya, hivi hata huyo mwanaume si atakuwa na wasiwasi na hiyo mimba? Unadhani mwanaume mwenye akili ukiwahi mpa penzi atafikiria yeye ndo ana bahati sana kwako? Ushawapa wangapi?
Kha! Wenzangu tuache kuwatafutia lawama wakaka wa watu, ndo maana miaka hii kila kona single mothers, sisi enzi zetu haikuwa hivyo. Bi dada unamwagwa leo keshokutwa upo na Abdallah. Akikutosa unamkamata John, naye akikubwaga unahamia kwa Hamisi, hiyo K au mpira watu wanapasiana?
Halafu kutwa kucha madawa ili zibane, zibane nini sasa wakati mashavu yoote yameachama na kutawanyika sababu ya misukosuko? Tuacheni kulaumu wanaume tujitunze na tutunze mashine zetu wanawake.
Mimi nishasema kama mtachukia sijali wala nini.