The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,427
- 46,440
Ma Mshuza sio kwamba haelewi hayo yote, ni mtu wa maadili yake anatumia tafsida, hamjaona licha ya kufikisha ujumbe tata lakini amejitahidi kutotumia maneno makali?
Good to see you bro The Boss
"Tuendelee kuchukua tahadhari dhidi ya Corona"
Good to see you bro The Boss
"Tuendelee kuchukua tahadhari dhidi ya Corona"
Uboho ni kitu kingine kabisa
Muwe mnaangalia namna ya kuandika.
Uboho ni bone marrow, Ile tissue iliyo ndani ya mifupa ikitengeneza Chembe hai za damu nyekundu (red blood cells)
Sent using Jamii Forums mobile app