Wanawake tuongeze kujiheshimu...

Wanawake tuongeze kujiheshimu...

Ushauri huu pia mpatie Mshuza,

Asije akaharibu na yeye kama huyo office mate wako
 
Kwanza nimsifu Mtoa mada hii ya kuwaambia ukweli wadada wenzake ndo maana kesi nyingi za Ndoa kuvunjika au sijui vibamia sijui nn au Magonjwa au maovu mengi ambayo yanafanan na hayo Kwa sababu unakuta mdada kapitia wanaume tofauti na size tofauti( huyo nae mke? Hana sifa tena).

Kwa comment nyingi za Wadada hapo juu basi nimebaini kitu kuwa hawapendi kuambiwa ukweli inaonekana huenda ni magwiji wa hizo mambo namsifu mmoja tu Yna kidogo kajibu Kwa afadhari lakini wengine hamna kitu ndo kizazi cha sasa kizazi cha uasherati na uchafu.

Mungu hakuumba icho kiungo kitumike ovyo ovyo au na Kila Mwanaume ajae mbele yako anakiona na kukitumia.( Sehemu za siri za Mwanamke zikishaonwa na Mwanaume zaidi ya mmoja hizo sio tena sehemu za siri zinapoteza sifa za kuwa sehemu za siri).

Kipimo changu cha kuoa nikitambua ulilala na Wanaume zaidi wawili na hapo ni Kwa msamaa tu hapo Sioi kamwe.Maana huna tena sehemu za siri.


Soma hii uchukue point za msingi ndugu yangu sio siri leo umezengua Khantwe ona hapa Ni kweli wakina Dada jitunzeni. Nyie sio sex machine.
 
Hivi mtoa mada mashavu kuachana na kunymbulika inatokana na kufanya ngono sana au maumbile? Jibu lako litanisaidia sana maana kuna kamchepuko kangu kana mashavu yameachama kama utumbo wa ng'ombe
ngoja waje
 
The Monk wanaume smart kama wewe wamebaki wachache sana.... Wewe umeelewa. Kwa akili yao hao hawajui kuwa najua UboHo ni nini. Ila siwezi andika neno lenyewe kwa sababu ya maadili.

Ahsante, sifikirii nipo smart ila nimebahatisha tu kwenye hili eneo hata hivyo haihitaji u smart sana kutambua andiko lako.

Mwisho, umeshafanya kazi yako nzuri ya kufikisha ujumbe, maamuzi ya kuzingatia au kupuuza yanabaki kwa wahusika, wewe umenawa kama Pilato.

Niongezee tu kidogo, licha ya kujali wanafanya hilo jambo mara baada ya kufahamiana au wakishazoeana muda mrefu, cha msingi ni kujituliza iwe mwanamke au mwanaume, sifikirii tutakuja kupewa tuzo kwa idadi ya watu tumekua nao kwa mahusiano. Ni kitu mtu hauwezi kujisifia kwa watu wenye akili zao kwamba umejihusisha na watu wengi zaidi.

Uwe na siju njema
 
Back
Top Bottom