Laigwanan76
JF-Expert Member
- Nov 21, 2010
- 551
- 153
Mmmmh......Preta utanifundisha kuvaa mkanda unao_match na viatu....!
Tehe tehe,kumbe ni janga la wengi hili,hata waliooa pia wamo humo........kwakweli wengi hatujui kuvaa.......unakuta mtu mkanda wa mweupe alafu viatu brown au kanda jeusi viatu brown,hapo saa ingine na saa ina mkanda wa ngozi rangi nyingine pia utafikiri mkrisimasi[/QUOTE]
Mkrismasi ndio ni tena mkuu!
KachumbariTehe tehe,kumbe ni janga la wengi hili,hata waliooa pia wamo humo........kwakweli wengi hatujui kuvaa.......unakuta mtu mkanda wa mweupe alafu viatu brown au kanda jeusi viatu brown,hapo saa ingine na saa ina mkanda wa ngozi rangi nyingine pia utafikiri mkrisimasi
Tehe tehe,kumbe ni janga la wengi hili,hata waliooa pia wamo humo........kwakweli wengi hatujui kuvaa.......unakuta mtu mkanda wa mweupe alafu viatu brown au kanda jeusi viatu brown,hapo saa ingine na saa ina mkanda wa ngozi rangi nyingine pia utafikiri mkrisimasi[/QUOTE]
Mkrismasi ndio ni tena mkuu!
Nilidhani kuna hoja mpya,kumbe hilo tu.......wenye kuelewa wameelewa
....mh....hivi huwa mnajua na sisi siku ya kwanza tunawatazamaje...?@Preta..cjaona kigezo kigumu hapoSio wote.....bali wengi wetu.....(nami nikiwemo).....huwa tunaangalia mambo haya........siku ya kwanza kukutana....(au kutoka).....
1.Kwanza tunatazama tembea yako, kisela au kiheshima ili tujue kama una kazi au la.
2.Kama nguo zako zimefubaa, unatembea juani, kama hazijanyooshwa basi hata pasi kwako huna.
3.Kama viatu vina vumbi moja kwa moja gari huna.
4.Kama pesa hutoi kwenye waleti hujazoea kuwa na pesa tena yawezekana hata laki hujawahi kushika.
5.Kama hunukii vizuri basi wanawake huwajui vizuri, na hujui romance, hata hug hujawahi kupewa.
6.Kama hutunzi nywele zako hata zake hutazigharamia.
7.Ukiongea nami muda mrefu na maswali mengi, hata kama hujanitongoza, najua umenipenda.
8. Ukinishika au kunigusa popote kwenye maongezi basi unanitaka kimwili.
9.Kama mkanda wa suruali na viatu havimachi rangi, hujawa na mwanamke kwa muda mrefu.
10. Usiponitazama machoni, yawezekana muongo au hujiamini na unaniogopa.
habari ndio hiyo........
Sio wote.....bali wengi wetu.....(nami nikiwemo).....huwa tunaangalia mambo haya........siku ya kwanza kukutana....(au kutoka).....
1.Kwanza tunatazama tembea yako, kisela au kiheshima ili tujue kama una kazi au la.
2.Kama nguo zako zimefubaa, unatembea juani, kama hazijanyooshwa basi hata pasi kwako huna.
3.Kama viatu vina vumbi moja kwa moja gari huna.
4.Kama pesa hutoi kwenye waleti hujazoea kuwa na pesa tena yawezekana hata laki hujawahi kushika.
5.Kama hunukii vizuri basi wanawake huwajui vizuri, na hujui romance, hata hug hujawahi kupewa.
6.Kama hutunzi nywele zako hata zake hutazigharamia.
7.Ukiongea nami muda mrefu na maswali mengi, hata kama hujanitongoza, najua umenipenda.
8. Ukinishika au kunigusa popote kwenye maongezi basi unanitaka kimwili.
9.Kama mkanda wa suruali na viatu havimachi rangi, hujawa na mwanamke kwa muda mrefu.
10. Usiponitazama machoni, yawezekana muongo au hujiamini na unaniogopa.
habari ndio hiyo........
..kisela unatembeaje mtu..eeh..hahahahahaha...nikukose tena. PretaHivi siku ile ulinitazamaje tena........ila nilikuuwa kabisa......
Na ungetembea kisela tu.......ulikuwa unikose......
..kwenye bold...hapo...umeniacha njia panda, PretaHivi siku ile ulinitazamaje tena........ila nilikuuwa kabisa......
Na ungetembea kisela tu.......ulikuwa unikose......
..oooh kumbe mambo mengine vipi..?huwa unakimbiaga Kili Marathoni..hata zile za Km 5 "Run for Fun". Preta ukuje moshibebii na wewe......hiyo inamaanisha nilikuacha hoi....mwenyewe uliblow mapigo......yani ulibaki katika halijojo......
halafu usiniulize tena....TUKI wakiniona wanatanitaka..........