EIFFEL
Member
- Jul 20, 2018
- 34
- 400
Personally ukiachana na wanawake ambao walishawahi kua classmates, sijawahi kua na rafiki wa kike nje ya hapo.
Of which hata hawa classmates endapo mmoja wapo akiolewa, basi ndio hua mwisho wa mawasiliano.
Am a business man, na nakutana na wadada warembo sana, but i always keep it professional.
Ukinivutia nakuambia ukweli, nikiona dalili za kua friendzoned, najiengua mapema sana.
I've never believed in existance of friendship between the two parties, without personal interests in between.
Of which hata hawa classmates endapo mmoja wapo akiolewa, basi ndio hua mwisho wa mawasiliano.
Am a business man, na nakutana na wadada warembo sana, but i always keep it professional.
Ukinivutia nakuambia ukweli, nikiona dalili za kua friendzoned, najiengua mapema sana.
I've never believed in existance of friendship between the two parties, without personal interests in between.