Sanchez magoli
JF-Expert Member
- Apr 24, 2015
- 4,056
- 8,532
Hahaha huwa nazikubaligi sana principles zako.Hahahahahahahhahahahahahaha anapeleka kwa dogo dogo sio.
Mimi huwa sitoi hata kumi, ila anachofaidi ni kwamba sitamuomba hata shilingi.
Hahaha huwa nazikubaligi sana principles zako.Hahahahahahahhahahahahahaha anapeleka kwa dogo dogo sio.
Mimi huwa sitoi hata kumi, ila anachofaidi ni kwamba sitamuomba hata shilingi.
Ilishanikuta hii
Isikie tu kwa mwenzio
haha SawaHa ha ha ha hebu jiselfie ukilia tuone
Hebu vuta pumzi twende taratibu.Hakuna cha friend zone wala **** zone ni umalaya tu unawasumbua. Huwezi kuwa na mahusiano yako serious halafu uka entertain huo ujinga eti una mtu kwa ajili ya sex tu kwani wewe ni sex machine.
Mwambie unaomba urafiki wa 'Dada na kaka' atakubali.hahaha mwisho wake utakuwa mzuri.
Usiogope
Unavyomuona kabadilika? Kama bado una mpenda!
na unaona ana elements za husband material. Mpokee mwangilie jinsi ya kusaidiana pamoja.
Hahahahahahahhahahahahahaha anapeleka kwa dogo dogo sio.
Mimi huwa sitoi hata kumi, ila anachofaidi ni kwamba sitamuomba hata shilingi.
Karma dada mkubwa kaja kunisaidia. Usiwe mkorofi tafadhali ombi langu lipokeleweMwambie unaomba urafiki wa 'Dada na kaka' atakubali.
Ha ha ha ha ha ha halafu wanaume wanaosemaga hivo unakuta hata sio waoaji😂
Halafu tukiwakataa wanaanza kusema eti wanawake tunakosa ndoa eti kwa sababu sijui tukipigiwa simu na namba ngeni kama ni wanaume tunawauliza namba wametoa wapi,, mara kwa sababu sijui tukisalimiwa na wanaume hatujibu tunajishaua.. yaani ujinga ujinga tu
Haha maisha kusaidiana;Hajabadilika chochote nina uhakika tukirudiana tu vizinga vitaanza
Ha ha ha ha ha ha ulikuwa unamlelea?
Kurudiana na mtu ambaye mliachana ni sawa na kumwongezea risasi za kuja kukumaliza maana mwanzo alikukosa. Simshauri kwa kweli.Unavyomuona kabadilika? Kama bado una mpenda!
na unaona ana elements za husband material. Mpokee mwangilie jinsi ya kusaidiana pamoja.
Ha ha ha ha ha halafu nina tabia za ajabu maana hazibadilikagi.Hahaha huwa nazikubaligi sana principles zako.
Ha ha ha ha ha ha halafu wanaume wanaosemaga hivo unakuta hata sio waoaji
Nasubiria😊haha Sawa
Haha maisha kusaidiana;
Maana hata hao watu wenye vipato vyao pia ambao wanawake wengi ndo huwa mnavutiwa nao; matatizo yao ni lukuki tu pia.
hahaha we B wewe.Kurudiana na mtu ambaye mliachana ni sawa na kumwongezea risasi za kuja kukumaliza maana mwanzo alikukosa. Simshauri kwa kweli.