Wanawake tulieni kwenye ndoa zenu

Wanawake tulieni kwenye ndoa zenu

Inabidi ujikane nafsi yako kwanza!

Halafu sio wote wanawake kuwa hawajatulia wapo watulivu,

Sema wanawake hao watulivu akivurugwa na mumewe Kwa kuchepuka na yeye ndipo huanza kujiongeza Kwa kui tafuta Furaha yake ilipo aipate !
Mie nasema hivi, ata kama ikatokea nikaoa, nitaweka asilimia 15 kuwa mke wangu atageggedwa na njemba zingine maana yeye ni binadamu. Ila sasa nikigundua....ajue ndoa imeisha. Na mie akinikamata namwambia kabisa ndoa ndio imeisha hapa.
 
Tumechoka kusikia kila siku mume kauwa mke, ukifuatilia source za haya mauwaji ni wivu wa kimapenzi fumanizi na kazilika.

Watiini waume zenu si uliapa mwenyewe kuwa utamtii sasa ukaidi wa nini? Mmekuwa wabishi mnakoromena na waume zenu kisa mnadai sisi na nyie ni sawa hakuna kitu kama hicho, mnadanganyana hakuna usawa kati yenu na sisi haitokuja kutokea mpaka kiama.

Kama unahisi bado haujamaliza ujana unakubali ndoa ya nini? Unajua kabisa huyu mwanaume haumpendi unakubali kuolewa nae kwa nini? Badilikeni haraka kama mtu haumpendi usikubali kuolewa nae, wanaume wa sasa hawana moyo wa kuvumilia kama baba zetu.

Yote kwa yote tumrudie muumba wetu.
Amina
 
Screenshot_20220619-102544.png
 
Mie nasema hivi, ata kama ikatokea nikaoa, nitaweka asilimia 15 kuwa mke wangu atageggedwa na njemba zingine maana yeye ni binadamu. Ila sasa nikigundua....ajue ndoa imeisha. Na mie akinikamata namwambia kabisa ndoa ndio imeisha hapa.





Sawa kabisa maana mtu ukiwa mlafi hupaswi kuwa mchoyo!

Wewe vya wenzio ukiona roho juu unataka kuonja na kula lakini vyako hutaki hiyo haifai!
 
Ebu sema wewe bwana. Mwanaume control ya mwanamke unayo wewe sasa nashangaa kwa nini wanalialia hapa.
Kwanza mwanamke usimshobokee, pili hakikisha una mihela...mbususu zitajileta zenyewe wee kazi yako ni kuwasasambua tuu. Moral of the story: hakuna kuoa...ni kuchakata mbususu na kuwazalisha
Nakazia, "HAKUNA KUOA"
 


Sawa kabisa maana mtu ukiwa mlafi hupaswi kuwa mchoyo!

Wewe vya wenzio ukiona roho juu unataka kuonja na kula lakini vyako hutaki hiyo haifai!
Wao wanasema ni nature yao kula vya nje ila wanawake ni marufuku
 
Kwanza Kwa usaliti kwenye ndoa wanaoongoza ni wanaume Kwa wingi mkubwa!

Kwa hiyo acheni ubabe!
"No right to speak without any clear research and evidence" please vividly attach here your applied research with available factors.
 
Back
Top Bottom