Wanawake this is the harsh reality

Now this is you on your real senses...Leo umekuwa OG sana
 
We mtu leo unatema madini sana.🤛🤛🤛
 

MNhhhh kila mtu aplay part yake, correct,sio jukumu la mwanamke pekee kutii ama kuwa na heshima kwenye uhusiano...

Mahusiano ambayo mwanamke pekee ndio mwenye heshima na utii..hayako healthy..sisi binadamu ni nature kuexchange vitu katika uhusiano, you give respect and you will be given respect...mambo ya kuwa wewe ndio una give tu ...haziko hivyo my dear...

ningependa uelezee jinsi ya kumaliza mambo kiheshima...ila kama mwanamke ndio anatakiwa amalize kiheshima..usinijibu LOL
 
Mwanamke na mwanaume hawapo sawa...japo Ni marafiki wakuubwa Sana..niwatu wakaribu Sana..

Mwanaume Ni Authority na anapambana kwa ajili ya familia..sijui Sasa Unvyotaka amtii mwanamke una maana gani.labda sijakuelewa.
 
Naomba uwe mke wangu wa nne aisee.

Kama ombi langu hili litakuwa limekuudhi, usijibu chochote tafadhali. Maana umeandika vya muhimu sana.
 
Mwanamke na mwanaume hawapo sawa...japo Ni marafiki wakuubwa Sana..niwatu wakaribu Sana..

Mwanaume Ni Authority na anapambana kwa ajili ya familia..sijui Sasa Unvyotaka amtii mwanamke una maana gani.labda sijakuelewa.

MNHHHHH.....

Kwani kumtii mwanaume ulikua unamaanisha nini???

Kwa hio ukiwa unapambana na familia ndio unapaswa upewe utii na wewe usitoe utii???

Unazungumziaje wale wanawake wanaopambana kwa ajili familia zao?

Kwa definition yako yule anayefight kwa ajili ya familia ndio apewe utii....duhhh
 
Mkuu samahani kwa kudandia gari kwa mbele, wewe unaamini katika dini ?
Nilitaka kutumia maandiko kidogo, ''Mwanaume ampende mkewe, mwanamke amtii mumewe''

Nakubaliana na wewe kwamba mahusiano bora na yenye afya ni yale yenye kuwa na heshima baina ya pande zote mbili.
Lakini kama ikitokea (kwa sababu yoyote ile) ''utii'' unatakiwa kutokea upande mmoja, basi unatakiwa kutokea upande wa mtu-mke. Kwa bahati mbaya wanaume wanahitaji heshima kutoka kwa mwanamke kuliko kitu chochote kile.
Kwa maoni yangu, kwa mwanamke kusema atamsheshimu au kumtii mwanaume endapo tu huyo mwanaume atamheshimu mwanamke, ni msimamo usio mwema. Ni mashindano yasiyo na afya kwa mahusiano baina ya me na ke.

NB: Nothing can replace mwanamke mtiifu. Huyu kiumbe ni baraka tosha.
 
Kuna wanawake wanaamua ku pick up fights ambazo sio za lazima. Kama ukiwa neutral hutavunjika popote kwanini usichague kuwa neutral. Kuleta ligi katika mahusiano hakuleti afya zaidi ya mifarakano. Hili ndio feminist wengi linawagharimu
 
Acha ligi isio na msingi...Mwanaume ukimtii na kumuheshimu automatically atakuthamini na kukupenda kama lulu. Mbona unatumia nguvu sana kujaribu kuleta msuguano baina ya pande mbili. Ukiwa neutral utavunjika popote?
 
Leo nimekuelewa kuliko kawaida

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Siri ndogo tu ( mheshimu mwanaume mwenye akili naye atakupa maisha yenye furaha)

Zingatia mabano na soma neno kwa neno

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Mwanamke na mwanaume hawapo sawa...japo Ni marafiki wakuubwa Sana..niwatu wakaribu Sana..

Mwanaume Ni Authority na anapambana kwa ajili ya familia..sijui Sasa Unvyotaka amtii mwanamke una maana gani.labda sijakuelewa.
Yani leo ningekuwa nipo vizuri ningekwambia uje makumbusho uchague iPhone unayopenda niilipie fasta. This is how a real woman should be and think 😍 umekuwa positive sana leo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…