Wanawake stress nyingine tunazitafuta

Wanawake stress nyingine tunazitafuta

Mmekaa sitting room mnaangalia taarifa ya habari, simu ya mr inaita, anaamka anachukua simu, ameamua kuongelea chumbani. Baada ya maongezi anarudi anakukuta mwanamke umeumuka kama umetiwa hamira, aliyepiga simu ni nani?

Kama ungetakiwa kumjua au kujua wanayoongea asingeenda chumbani, yeye ni mtu mzima anahitaji privacy yake. Kama anataka kukopa hela je?

Mimi ninaamini kama katika wote amenichagua mimi, hata akitoka wala sina wasiwasi ninajua atarudi. Simu ikipigwa ninampelekea kama yuko mbali, hata kama caller’s name ni Joyce siulizi kwani mwenye pete ya ndoa ni mimi.

Uache kulala usingizi wako mzuri unamsubiri mtu ambae yuko kwenye bata lake huko au ndiyo anashughulikia ada za watoto. Mradi tu awe na adabu ya kunijulisha kuwa atachelewa.

Katika 1000 utapata mmoja tu
 
Aiseee nimekupenda kweli wanaume wote wangepata wake wenye mtazamo huu ndoa zingekuwa kama mko mbinguni
Mmekaa sitting room mnaangalia taarifa ya habari, simu ya mr inaita, anaamka anachukua simu, ameamua kuongelea chumbani. Baada ya maongezi anarudi anakukuta mwanamke umeumuka kama umetiwa hamira, aliyepiga simu ni nani?

Kama ungetakiwa kumjua au kujua wanayoongea asingeenda chumbani, yeye ni mtu mzima anahitaji privacy yake. Kama anataka kukopa hela je?

Mimi ninaamini kama katika wote amenichagua mimi, hata akitoka wala sina wasiwasi ninajua atarudi. Simu ikipigwa ninampelekea kama yuko mbali, hata kama caller’s name ni Joyce siulizi kwani mwenye pete ya ndoa ni mimi.

Uache kulala usingizi wako mzuri unamsubiri mtu ambae yuko kwenye bata lake huko au ndiyo anashughulikia ada za watoto. Mradi tu awe na adabu ya kunijulisha kuwa atachelewa.
 
Mmekaa sitting room mnaangalia taarifa ya habari, simu ya mr inaita, anaamka anachukua simu, ameamua kuongelea chumbani. Baada ya maongezi anarudi anakukuta mwanamke umeumuka kama umetiwa hamira, aliyepiga simu ni nani?

Kama ungetakiwa kumjua au kujua wanayoongea asingeenda chumbani, yeye ni mtu mzima anahitaji privacy yake. Kama anataka kukopa hela je?

Mimi ninaamini kama katika wote amenichagua mimi, hata akitoka wala sina wasiwasi ninajua atarudi. Simu ikipigwa ninampelekea kama yuko mbali, hata kama caller’s name ni Joyce siulizi kwani mwenye pete ya ndoa ni mimi.

Uache kulala usingizi wako mzuri unamsubiri mtu ambae yuko kwenye bata lake huko au ndiyo anashughulikia ada za watoto. Mradi tu awe na adabu ya kunijulisha kuwa atachelewa.
Dada una akili sana..umebarikiwa..na mama mzaa wewe tumbo lake limebarikiwa!
 
Umchunguze na uujue mchepuko wake kweli tena ni kifaa kuku zidi wewe

Mmmh huwa wanajikaza kisabuni au wanakufa kiingereza na tai shingoni

Mimi nishawahi kuulizwa sasa pale unafata nini wakati anaona kabisa kitu under20 kimenyoooka haswaaa!!!
 
Mmmh huwa wanajikaza kisabuni au wanakufa kiingereza na tai shingoni

Mimi nishawahi kuulizwa sasa pale unafata nini wakati anaina kabisa kitu under20 kimenyoooka haswaaa!!!
Under 20 unaharibu watoto wewe.
 
Wanawake wenye ufahamu na uchambuzi wa hali ya juu kama sky wameenda wapi.
Tupoooo. Hayo mambo ya kumfuatilia mtu anaongea na simu ni utoto na kutokujiamini. Fikiria huyo jamaa kabla yako amekutana na wangapi lakini akaishia kwako, kikubwa awe na nidhamu kama hiyo ya simu zake za HOVYO kwenda kuongelea mbali.
 
Swali ni je hilo hata wanaume wanaweza kufanya? Yaani mke simu inaingia anaenda kuongelea chumbani halafu mume kakaa tu hana hata wasiwasi na wala haulizi ni nani aliyepiga simu?

Wanawake tunaweza ila na wanaume wanaweza? Na wao wakiweza basi hakika ndoa itakuwa tamu zaidi ila siyo hawa wanaume wa kiafrika kila kitu utasikia "mimi ndo mwanaume humu ndani na mimi ndo niliyekuoa" ishiii kwahiyo?
Tatizo linaanzia hapa....mnapotaka kushindana. Ukiingia ndoani na akili ya kushindana...unapotea.
 
Mmekaa sitting room mnaangalia taarifa ya habari, simu ya mr inaita, anaamka anachukua simu, ameamua kuongelea chumbani. Baada ya maongezi anarudi anakukuta mwanamke umeumuka kama umetiwa hamira, aliyepiga simu ni nani?

Kama ungetakiwa kumjua au kujua wanayoongea asingeenda chumbani, yeye ni mtu mzima anahitaji privacy yake. Kama anataka kukopa hela je?

Mimi ninaamini kama katika wote amenichagua mimi, hata akitoka wala sina wasiwasi ninajua atarudi. Simu ikipigwa ninampelekea kama yuko mbali, hata kama caller’s name ni Joyce siulizi kwani mwenye pete ya ndoa ni mimi.

Uache kulala usingizi wako mzuri unamsubiri mtu ambae yuko kwenye bata lake huko au ndiyo anashughulikia ada za watoto. Mradi tu awe na adabu ya kunijulisha kuwa atachelewa.
Sky Eclat upo vzr sana, endelea kuwapa darasa wasiojilewa, big sana keep it up!
 
Mmekaa sitting room mnaangalia taarifa ya habari, simu ya mr inaita, anaamka anachukua simu, ameamua kuongelea chumbani. Baada ya maongezi anarudi anakukuta mwanamke umeumuka kama umetiwa hamira, aliyepiga simu ni nani?

Kama ungetakiwa kumjua au kujua wanayoongea asingeenda chumbani, yeye ni mtu mzima anahitaji privacy yake. Kama anataka kukopa hela je?

Mimi ninaamini kama katika wote amenichagua mimi, hata akitoka wala sina wasiwasi ninajua atarudi. Simu ikipigwa ninampelekea kama yuko mbali, hata kama caller’s name ni Joyce siulizi kwani mwenye pete ya ndoa ni mimi.

Uache kulala usingizi wako mzuri unamsubiri mtu ambae yuko kwenye bata lake huko au ndiyo anashughulikia ada za watoto. Mradi tu awe na adabu ya kunijulisha kuwa atachelewa.

Samahani umeolewa?
 
Mmekaa sitting room mnaangalia taarifa ya habari, simu ya mr inaita, anaamka anachukua simu, ameamua kuongelea chumbani. Baada ya maongezi anarudi anakukuta mwanamke umeumuka kama umetiwa hamira, aliyepiga simu ni nani?

Kama ungetakiwa kumjua au kujua wanayoongea asingeenda chumbani, yeye ni mtu mzima anahitaji privacy yake. Kama anataka kukopa hela je?

Mimi ninaamini kama katika wote amenichagua mimi, hata akitoka wala sina wasiwasi ninajua atarudi. Simu ikipigwa ninampelekea kama yuko mbali, hata kama caller’s name ni Joyce siulizi kwani mwenye pete ya ndoa ni mimi.

Uache kulala usingizi wako mzuri unamsubiri mtu ambae yuko kwenye bata lake huko au ndiyo anashughulikia ada za watoto. Mradi tu awe na adabu ya kunijulisha kuwa atachelewa.
We sio wife material tu bali mwanamke aliekomaa na imara kwenye taasisi ya ndoa.
Mtoto wa kike kuwa na hekima hizi ni bahati sana. Ila mwanamke mkomavu pekee anaweza kuwa na hii sifa.
 
Tatizo linaanzia hapa....mnapotaka kushindana. Ukiingia ndoani na akili ya kushindana...unapotea.
Hakuna anayetaka kushindana ila tatizo wanaume mnadhani ndoa bora ni ile ambayo mwanaume anafanya makosa kwa makusudi kila siku akitegemea mke wake atamsamehe na atamvumilia na mwanamke hafanyi makosa hata siku moja ndo ndoa mnazotaka hizo
 
Hii mneno ni wewe mwenyewe Sky Eclat unaongea au ume-copy mahala? Kama yametoka moyoni kweli,basi wewe uko tofauti saaaana na joanah
 
Hahahahaahhahahahaahahhahahahahahahahahahahahahahahhaahhaha hebu nijitahidi niwe kama hivi uwenda nikadumu kwenye mahusisno lol...


Nilivyo na gubu hivyo simu ipigwe ukaongee chumbani asalaleeeeeeeeee vita ya hapo si ya mchezo
Vita ya maji maji miaka mfululizo 1905 mpaka na ngapi sijui😂😂😂😂
 
Hakuna anayetaka kushindana ila tatizo wanaume mnadhani ndoa bora ni ile ambayo mwanaume anafanya makosa kwa makusudi kila siku akitegemea mke wake atamsamehe na atamvumilia na mwanamke hafanyi makosa hata siku moja ndo ndoa mnazotaka hizo
Ukumbuke wewe ni mke sio kiranja wala hakimu. Ukiyazingatia haya utaishi kwa amani tele ndoani
 
Hahahahaahhahahahaahahhahahahahahahahahahahahahahahhaahhaha hebu nijitahidi niwe kama hivi uwenda nikadumu kwenye mahusisno lol...


Nilivyo na gubu hivyo simu ipigwe ukaongee chumbani asalaleeeeeeeeee vita ya hapo si ya mchezo
utateseka sana, unajua mwanamke anaboaga sehemu moja tu. Ukiongelea usoni mwake ama kujificha vyote mwisho wa siku vitazaa varangati
 
Back
Top Bottom